miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
Habari zenu?
Naombeni msaada wa dawa au ushauri kwa anayefahamu chanzo Cha tatizo langu, Mimi ni mjamzito wa miezi 2 Ila tatizo langu kila nikikutana na mme wangu napata maumivu makali yani nakuwa Kama vile na vidonda pia baada ya tendo huku chini kunakuwa kunawaka Moto inabidi nijimwagie maji ya Moto ili kupoe wakati mwingine pia napata muwasho.
Nilienda kwa doctor nikapewa dawa ya kuingiza huku chini kwa siku 6 inaitwa cloritimazole nimemaliza kutumia lakini shida iko pale pale. Naombeni mnisaidie tatizo linaweza kuwa ni nini pia ni dawa gani nitumie ambayo haina madhara kwa mjamzito.
Naombeni msaada wa dawa au ushauri kwa anayefahamu chanzo Cha tatizo langu, Mimi ni mjamzito wa miezi 2 Ila tatizo langu kila nikikutana na mme wangu napata maumivu makali yani nakuwa Kama vile na vidonda pia baada ya tendo huku chini kunakuwa kunawaka Moto inabidi nijimwagie maji ya Moto ili kupoe wakati mwingine pia napata muwasho.
Nilienda kwa doctor nikapewa dawa ya kuingiza huku chini kwa siku 6 inaitwa cloritimazole nimemaliza kutumia lakini shida iko pale pale. Naombeni mnisaidie tatizo linaweza kuwa ni nini pia ni dawa gani nitumie ambayo haina madhara kwa mjamzito.