Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Wadau,
Wikiend iliyoisha nlikua Zanzibar kibiashara, na nlifanikiwa kufika salama tu.
Bahati mbaya nilikosa ndege wakati wa kurudi hivyo nikalazimika kuchukua boat.
Kwakua si mzoefu wa kusafiri nilitapika sana karibia safari nzima, na mpaka sasa misuli ya tumbo inauma kwelikweli!!
Yaani nikicheka au kuvuta pumzi kwa nguvu shida,
Nikaa yenyewe pia shida kwa nalibinya tumbo.
Kuna yeyote anaejua dawa ya kupunguza au kuondoa maumivu haya?
Maana too much sasa!!!
Wikiend iliyoisha nlikua Zanzibar kibiashara, na nlifanikiwa kufika salama tu.
Bahati mbaya nilikosa ndege wakati wa kurudi hivyo nikalazimika kuchukua boat.
Kwakua si mzoefu wa kusafiri nilitapika sana karibia safari nzima, na mpaka sasa misuli ya tumbo inauma kwelikweli!!
Yaani nikicheka au kuvuta pumzi kwa nguvu shida,
Nikaa yenyewe pia shida kwa nalibinya tumbo.
Kuna yeyote anaejua dawa ya kupunguza au kuondoa maumivu haya?
Maana too much sasa!!!