Maumivu yasiyofutika moyoni

Maumivu yasiyofutika moyoni

INSONSILE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,872
Reaction score
2,743
Wakuu wana MMU, natanguliza heshima na salamu,

Kuna jambo linanitatiza sana nafsini mwangu na dhamiri yangu inanitesa sana. Miaka mitatu iliyopita mpenzi wangu alikuwa nje ya nchi kwa masomo. Na kama ujuavyo wanaume wengi kukaa mwaka mzima inakuwa ngumu bila kupata huduma ya chakula cha usiku. Hivyo siku moja nikakutana na dada mmoja kipindi hicho alikuwa anasoma chuo. Baada ya kufahamiana kwa kweli nilimzimikia sana, alikuwa mzuri in all aspects. Anatoka kanda ya kaskazini, mweupe natural, mnene kiasi mguu wa bia na kifuani mzigo wa uhakika uliosimama (bado haujalala). Uzalendo ukanishinda nikarusha ndoana, aaah ikanasa. Mara tukajikuta katika mahaba mazito sana.

Kabla ya kukutana kimwili
Alikuwa akipenda sana kuchat na mimi na wakati mwingine hupenda tufanye phone sex, tunachat kimahaba mpaka mtu unalegea. Siku moja akaniuliza ninapokaa, nikamwelekeza na haikuwa ngumu kuelewa ninapokaa. One day, usiku majira ya saa nne usiku nikiwa nimeshalala, akanikumbusha tena ninapokaa, akaanza kuniuliza

Lady: Hapo kwako kuna nguzo ya Tanesco mbele ya nyumba?
Mimi: Yes,
Lady: Kuna miti miwili mbele ya nyumba?
Me: Yes, vipi umejuaje?
Lady: Nilipita mchana hapo nilikuwa naenda sehemu nikakumbuka ulivyonielekeza. Na kuonyesha kuwa nimepatia nilikuwekea zawadi mlangoni umeiona?
Me: No sijaiona maana natumia mlango wa uani, for security purpose.
Lady: Ok, basi kaangalie

Nikatoka fasta kuona kama ni kweli, kufungua mlango, nakutana naye uso kwa uso mlangoni (amekuja bila kuniarifu. Wakati huo tulikuwa tumeshachat sana kimahaba kiasi kuwa bunduki ilishajikoki sana. Hapo ilikuwa tayari saa tano usiku.

Ninachokumbuka usiku ule sikuwa na zana za kazi na maduka yalikuwa yameshafungwa na sikuwa na mbinu yoyote ya kupata zana. Nikapiga moyo konde, nikachukua risk tukacheza peku. From there, ikawa ndo mwanzo wa penzi letu, na lilikomaa na kufikia hatua ya mimi kuchanganyikiwa maana alivyokuwa ananipelekesha hata mpenzi wangu hafiki hata nusu. Japo it was too late kwa kutokutumia kinga siku ya kwanza, niliamua kwenda naye kupima, bahati nzuri majibu yalikuwa mazuri, nilishukuru sana.

Nikiwa nimeshmsaliti mpenzi wangu nilikuwa tayari kama ingewezekana huyu ndo awe mke wangu, nikamwambia kilichopo moyoni, alinikata maini kwa kunijibu kuwa yeye ni mke wa mtu na ana mtoto mkubwa tena anasoma darasa la pili. Roho iliniuma sana kwani hakuwahi kuniambia, na alikuwa havai pete yoyote mkononi mwake. Kwa mahaba aliyokuwa ananipa nilichanganyikiwa kabisa, huku nikiwaza kuwa mke wa mtu sumu. Fine, tuliendelea kuwa na mahusiano lakini nikiwa addicted tayari. Penzi letu liliishia baada ya yeye kumaliza masomo yake na kurudi kwao. Alikata mawasiliano kwa kiasi kikubwa japo alikuwa ananikumbuka mara chache sana.

Kilichonileta hapa jukwaani ni kuwa baada ya kuachana nimejitahidi kusahau lakini nimeshindwa. Nikiwa na mpenzi wangu nafanya tuu kama kutimiza wajibu lakini haiko moyoni. Mbaya zaidi imenisababishia kutoka na wengine lakini bado sijakutana tena na mwanamke wa kunifikisha japo level yake. Nimekuwa addicted to her, wakati mwingine nikiwa peke yangu nawaza mpaka najikuta nalia machozi ya uchungu wa kile nilichofanya na yeye, jinsi alivyochelewa kuniambia kama ana mume. Kinachiniumiza sana ni kuona kuwa sitakutana naye tena, japo ananipigia simu na ananiliwaza wakati mwingine kwa kunipa matumaini ya kuonana.

How can i go through this psychological and emotional problem? Natamani sana kufuta kumbukumbu zake nimeshindwa.
 
^^
Kubali kwamba kila jambo lina mwanzo na mwisho,na yaweke mazuri yake yote ktk faili la sahau.
Pili, tafuta kalamu ya wino mwekundu,ikiwa na karatasi (plain paper) yaandike yote kumhusu yeye! Sifu na jieleze ukiwa peke yako! Ukimaliza, weka alama ya cross, tia moto! Fanya hivyo kila hisia zinapokujia.
Tatu
Kubali kuwa wanawake wanatofautiana radha, na kila mwanamke ana uzuri wake ktk mapenzi, na pale unapohisi anapungukiwa unaweza kumfundisha.Taratibu utapata maisha mazuri ya unyumba.
Mwisho,
Pole kwa kujikwaa! Amka kung'uta vumbi na uishinde nafsi yako.
^^
 
Mkuu pole sana! Chamsingi soma hapa na uzingatie kweli kweli la sivyo utaenda na maji!!! http://adserver.adtech.de/?adlink/1332/3949070/0/225/AdId=10039909;BnId=4;itime=197115419;
Wakuu wana MMU, natanguliza heshima na salamu,

Kuna jambo linanitatiza sana nafsini mwangu na dhamiri yangu inanitesa sana. Miaka mitatu iliyopita mpenzi wangu alikuwa nje ya nchi kwa masomo. Na kama ujuavyo wanaume wengi kukaa mwaka mzima inakuwa ngumu bila kupata huduma ya chakula cha usiku. Hivyo siku moja nikakutana na dada mmoja kipindi hicho alikuwa anasoma chuo. Baada ya kufahamiana kwa kweli nilimzimikia sana, alikuwa mzuri in all aspects. Anatoka kanda ya kaskazini, mweupe natural, mnene kiasi mguu wa bia na kifuani mzigo wa uhakika uliosimama (bado haujalala). Uzalendo ukanishinda nikarusha ndoana, aaah ikanasa. Mara tukajikuta katika mahaba mazito sana.

Kabla ya kukutana kimwili
Alikuwa akipenda sana kuchat na mimi na wakati mwingine hupenda tufanye phone sex, tunachat kimahaba mpaka mtu unalegea. Siku moja akaniuliza ninapokaa, nikamwelekeza na haikuwa ngumu kuelewa ninapokaa. One day, usiku majira ya saa nne usiku nikiwa nimeshalala, akanikumbusha tena ninapokaa, akaanza kuniuliza

Lady: Hapo kwako kuna nguzo ya Tanesco mbele ya nyumba?
Mimi: Yes,
Lady: Kuna miti miwili mbele ya nyumba?
Me: Yes, vipi umejuaje?
Lady: Nilipita mchana hapo nilikuwa naenda sehemu nikakumbuka ulivyonielekeza. Na kuonyesha kuwa nimepatia nilikuwekea zawadi mlangoni umeiona?
Me: No sijaiona maana natumia mlango wa uani, for security purpose.
Lady: Ok, basi kaangalie

Nikatoka fasta kuona kama ni kweli, kufungua mlango, nakutana naye uso kwa uso mlangoni (amekuja bila kuniarifu. Wakati huo tulikuwa tumeshachat sana kimahaba kiasi kuwa bunduki ilishajikoki sana. Hapo ilikuwa tayari saa tano usiku.

Ninachokumbuka usiku ule sikuwa na zana za kazi na maduka yalikuwa yameshafungwa na sikuwa na mbinu yoyote ya kupata zana. Nikapiga moyo konde, nikachukua risk tukacheza peku. From there, ikawa ndo mwanzo wa penzi letu, na lilikomaa na kufikia hatua ya mimi kuchanganyikiwa maana alivyokuwa ananipelekesha hata mpenzi wangu hafiki hata nusu. Japo it was too late kwa kutokutumia kinga siku ya kwanza, niliamua kwenda naye kupima, bahati nzuri majibu yalikuwa mazuri, nilishukuru sana.

Nikiwa nimeshmsaliti mpenzi wangu nilikuwa tayari kama ingewezekana huyu ndo awe mke wangu, nikamwambia kilichopo moyoni, alinikata maini kwa kunijibu kuwa yeye ni mke wa mtu na ana mtoto mkubwa tena anasoma darasa la pili. Roho iliniuma sana kwani hakuwahi kuniambia, na alikuwa havai pete yoyote mkononi mwake. Kwa mahaba aliyokuwa ananipa nilichanganyikiwa kabisa, huku nikiwaza kuwa mke wa mtu sumu. Fine, tuliendelea kuwa na mahusiano lakini nikiwa addicted tayari. Penzi letu liliishia baada ya yeye kumaliza masomo yake na kurudi kwao. Alikata mawasiliano kwa kiasi kikubwa japo alikuwa ananikumbuka mara chache sana.

Kilichonileta hapa jukwaani ni kuwa baada ya kuachana nimejitahidi kusahau lakini nimeshindwa. Nikiwa na mpenzi wangu nafanya tuu kama kutimiza wajibu lakini haiko moyoni. Mbaya zaidi imenisababishia kutoka na wengine lakini bado sijakutana tena na mwanamke wa kunifikisha japo level yake. Nimekuwa addicted to her, wakati mwingine nikiwa peke yangu nawaza mpaka najikuta nalia machozi ya uchungu wa kile nilichofanya na yeye, jinsi alivyochelewa kuniambia kama ana mume. Kinachiniumiza sana ni kuona kuwa sitakutana naye tena, japo ananipigia simu na ananiliwaza wakati mwingine kwa kunipa matumaini ya kuonana.

How can i go through this psychological and emotional problem? Natamani sana kufuta kumbukumbu zake nimeshindwa.
 
Kaka pole sana, zingatia ushauri wa himidini hapo juu, utakusaidia..
 
Pigania unachokipenda kaka, Kafanye mapinduzi huko huko alipo.
 
Pigania unachokipenda kaka, Kafanye mapinduzi huko huko alipo.

Mke wa mtu sumu....

Nimecheka sana..."Wakati huo tulikuwa tumeshachat sana kimahaba kiasi kuwa bunduki ilishajikoki sana"
 
Kamuombe mme wakee umrudishie mahali yake ili umuoee wewee maana anakufaa kumzidi hata hiyo mmewee
 
Duhhh.....'nafanya kutimiza tu wajibu'...loh unaweza kuwa na mtu unajiona umependwaaa kumbe,hehehe shughuliii...
 
Kama unahisi unakosa vile vionjo vya kitandani vya huyo mwanamke wako wa zamani, kwa nini usiamue kumfundisha huyu mke wako unaeishi nae ili angalau akufanyie vile ambavyo vinakufanya ushindwe kumwacha huyo x wako.
 
Ati maumivu yasiyofutika moyoni. Yaache yakae huko uijaze akili mengine. Unalalamikia kitu ya mtu ka yako. Weye huo utamu uliouona ungekuwa mali yako halafu usikie ati kuna dokozi linaviziaga hiyo asali ungejisikiaje?? Koma tena ukomae kulilia vya wenyewe. Futa kaabisa hiyo namba yake kwa sm yako. Andika hapo namba ya kituo cha polisi ili kwa bahati mbaya ukiipiga waje kukuchukua ukanywe uji wa bure. Toka mbele yangu nisiku..
 
^^
Kubali kwamba kila jambo lina mwanzo na mwisho,na yaweke mazuri yake
yote ktk faili la sahau.
Pili, tafuta kalamu ya wino mwekundu,ikiwa na karatasi (plain paper)
yaandike yote kumhusu yeye! Sifu na jieleze ukiwa peke yako! Ukimaliza,
weka alama ya cross, tia moto! Fanya hivyo kila hisia zinapokujia.
Tatu
Kubali kuwa wanawake wanatofautiana radha, na kila mwanamke ana uzuri
wake ktk mapenzi, na pale unapohisi anapungukiwa unaweza
kumfundisha.Taratibu utapata maisha mazuri ya unyumba.
Mwisho,
Pole kwa kujikwaa! Amka kung'uta vumbi na uishinde nafsi yako.
^^
Muache ale tu MATUNDA YA USALITI maana watu kama hawa wanakera sana..sasa badala ya kumuacha kabisa huyo anaemwita mpenzi wake sasa anaendelea kuchuma MATUNDA YA UNAFIKI!Jamani jamani!
 
^^
Kubali kwamba kila jambo lina mwanzo na mwisho,na yaweke mazuri yake yote ktk faili la sahau.
Pili, tafuta kalamu ya wino mwekundu,ikiwa na karatasi (plain paper) yaandike yote kumhusu yeye! Sifu na jieleze ukiwa peke yako! Ukimaliza, weka alama ya cross, tia moto! Fanya hivyo kila hisia zinapokujia.
Tatu
Kubali kuwa wanawake wanatofautiana radha, na kila mwanamke ana uzuri wake ktk mapenzi, na pale unapohisi anapungukiwa unaweza kumfundisha.Taratibu utapata maisha mazuri ya unyumba.
Mwisho,
Pole kwa kujikwaa! Amka kung'uta vumbi na uishinde nafsi yako.
^^
Pokea biiiiig like hapa hapa Himidini!!!! Hv tifutifu lako la kuweka hivyo vialama kwenye post zako limeishaje kwa wale wanamember?
 
Kumbuka hili ulizaliwa pekeyako utakufa pekeyako, unavuna matunda ya usaliti, Huyo mke wa mtu alikuwa anaondoa tu upweke karudi kwa mumewe wewe ukazama mzimamzima chunguza hata Huyo mkeo huko alikokuwa alikuwa na nanani na pengine naye ana siri nzito rohoni but I jus hope hakuwa kama wewe
 
Pokea biiiiig like hapa hapa Himidini!!!! Hv tifutifu lako la kuweka hivyo vialama kwenye post zako limeishaje kwa wale wanamember?

^^
mshana jr sijui limeishaje, naona wapo kimya! May be nisubiri abuse notification from mods!
Btw
unanishaurije?
^^
 
Last edited by a moderator:
Muache ale tu MATUNDA YA USALITI maana watu kama hawa wanakera sana..sasa badala ya kumuacha kabisa huyo anaemwita mpenzi wake sasa anaendelea kuchuma MATUNDA YA UNAFIKI!Jamani jamani!

^^
Unajua azalea binadamu ndiye mwandishi wa historia ya maisha yake, haijalishi ni mbaya kiasi gani, anaweza kuandika sura mpya njema na akawa bora zaidi kuliko sisi ambao pengne tunajiamini pasipo kujua tungefanya nini yangetufika. Ni mtazamo wangu kuwa kuna Nafasi ya yeye kuwa mtu mpya na ya kale yakafika kikomo.
^^
 
Last edited by a moderator:
Kuchapiwa mke ni siri ya Ndani!!! Tatizo wachapaji hawatunzi siri....!
 
Sijajua ni kwa nini mtu anaona mwanamke au mwanaume anayejua mapenzi ndiyo kila kitu. Mimi mke au mume ni yule ambaye ana mtizamo wa kimaisha na kimaendeleo. Masuala ya kitandani yawe ni muhimu lakini yasizidi yale masuala ya msingi. Pole sana ila inaonekana kuwa wote wawili mlikuwa victim wa kuwa mbali na wapenzi wenu. Hakuna wa kumlaumu, na mke karudi kwa mume.
 
Back
Top Bottom