Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
Habari wakuu...naombeni mnijuze kitu kimoja kinanikwaza hapa....nimekuwa na mahusiano na wadada tofauti kwa wakati tofauti pia,..kila baada ya kufanya mapenzi kesho yake lazima mdada aniambie anaumwa na tumbo chini ya kitovu...Naomba mnieleweshe nini kinasababisha hii hali???...
#shukran
Inaweza kuwa STI au UTI. Nendeni wote hospitali mkapime mkojo-ikiwezekana urinalysis for culture and sensitivity test.
kama ndo hivyo kwanini wasiseme palepale wanapoona jamaa anataka kutokea utosini wanasubiri mpaka kesho?Mmmhhhh!!! we utakuwa unandefu ww... hadi inawafika tumboni.
Mkuu inaonekana unatumika sana WANNE angekuwa demu watu hapa jukwaani wangeshamwita MALAYA, CHANGUDOA, KAHABA e.t.c lakn kwa kuwa ni wewe Mbrazili bila shaka utaitwa "JEMBE" Anywayz ngoja waje wataalam mie nilichepuka kidongo nje ya topicMkuu ndo wote hao watakuwa na UTI??...Mana ni zaidi ya wanne wamewahi kunambia hii kitu....afu io STI nielezee ndo ikoje ikoje??
Mkuu ndo wote hao watakuwa na UTI??...Mana ni zaidi ya wanne wamewahi kunambia hii kitu....afu io STI nielezee ndo ikoje ikoje??
Punguza hiyo idadi ya hao wapenzi kwanza!
Zaidi ya wanne, duhhh!
Back to topic,
Inawezeka unapenda kutumia style fulani wakati wa kusex, may be uliiona kwenye pornograph au unaipendelea kwa sababu inakupa raha sana (inakufikisha kileleni kwa wakati).
So check out with that, please.
Mkuu inaonekana unatumika sana WANNE angekuwa demu watu hapa jukwaani wangeshamwita MALAYA, CHANGUDOA, KAHABA e.t.c lakn kwa kuwa ni wewe Mbrazili bila shaka utaitwa "JEMBE" Anywayz ngoja waje wataalam mie nilichepuka kidongo nje ya topic
Habari wakuu...naombeni mnijuze kitu kimoja kinanikwaza hapa....nimekuwa na mahusiano na wadada tofauti kwa wakati tofauti pia,..kila baada ya kufanya mapenzi kesho yake lazima mdada aniambie anaumwa na tumbo chini ya kitovu...Naomba mnieleweshe nini kinasababisha hii hali???...
#shukran
Jitahidi uwe unawafikisha kileleni!! Usiwaache njia panda, yaani ile anaanza kupandisha kilele we unamaliza. Kile kitendo cha yeye kuhangaika kurudisha ule mzuka alokuwa nao kwenye hali ya kawaida wengi huwasababishia maumivu makali ya tumbo muda mfupi baada ya tendo na huongezeka na kuwa serious zaidi.(This is not scientifically proved, but take it from me!!)
Mh....mbona mpaka wanasema wenyewe nimalize???....kama wao wanaomba wenyewe nimalize si ina maana wamefika safari au yao?????.....Au unataka niambia huwa wanafake vilele???....kama ni hivyo naweza anza pata picha kuwa huwa wanahisi maumivu wakati huo huo
Ongeza bidii zaidi kuombwa ushuke ni ishara ya yeye kutofurahia kitu anataman bora umwondolee mzigo juu yake. Kama amefika vizuri wala haihitaji darubini!!
Mh....mbona mpaka wanasema wenyewe nimalize???....kama wao wanaomba wenyewe nimalize si ina maana wamefika safari au yao?????.....Au unataka niambia huwa wanafake vilele???....kama ni hivyo naweza anza pata picha kuwa huwa wanahisi maumivu wakati huo huo
Ongeza bidii zaidi kuombwa ushuke ni ishara ya yeye kutofurahia kitu anataman bora umwondolee mzigo juu yake. Kama amefika vizuri wala haihitaji darubini!!