Huyu hajawahi kufiwa wala kupata maumivu ya mapenzi anataka kupata uzoefu
Yani msiba wa yeyote uufananishe na maumivu ya mapenzi, we unakula bangi
Mtu uliyekutana naye wala si ndugu yako akuache uumie kama umefiwa, wewe milembe inakuhusu
Msiba ni msiba tu hautakaa uzoeleke wala kufananishwa na chochote
Subiri siku ufiwe utajua