Mjasiriamali M
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 142
- 71
Habari za Jion, jamani tangu juzi nimejigundua nna pata maumivu kuanzia usawa wa kifuani(chembe) mpaka tumboni, yaani nikila chakula nakifeel kinavyopita mpaka kinafika mwisho, mwanzoni nilihisi nakula bila kutafuna vizuri na kumeza na maji lakini bado leo ni siku ya 3 naendelea kupata maumivu haya, nimekunywa maziwa na kula matango lakini sijapata relief kivile, nawasilisha huku naimani naweza pewa ushauri mzuri.
cc: MziziMkavu
cc: MziziMkavu
Last edited by a moderator: