mandingo 94
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 269
- 195
Habar ndg kama kichwa cha habar kinavyo sema hapo juu.
Ninasumbuliwa na matatizo ya kuuma kwa tumbo kwa muda wa miaka 3 sas nimeangaika hapa Dar mikoani nimetumia madawa hadi na kata tama naomba msaada wapi nitapata vipimu vizuri nana omba unisaidie jinsi ya kupata bima ya gharama nafuu ambayo nitaweza kutibiwa hospitaly zote serekar naomba munguzo wenu ndg yenu ninateseka
Ninasumbuliwa na matatizo ya kuuma kwa tumbo kwa muda wa miaka 3 sas nimeangaika hapa Dar mikoani nimetumia madawa hadi na kata tama naomba msaada wapi nitapata vipimu vizuri nana omba unisaidie jinsi ya kupata bima ya gharama nafuu ambayo nitaweza kutibiwa hospitaly zote serekar naomba munguzo wenu ndg yenu ninateseka