Habari zenu JF doctors, naumwa sana nikikojoa mkojo hautoki, wote unakua kama unabaki ndani ya kibofu halafu napata maumivu makali sana.
Nimeenda hospitali wameniambia nina U.T.I, wameniandikia sindano na dawa lakini bado hali inaendelea. Nifanyaje jamani, kuna aliyepitia hali kama hii na je, ulipona kwa njia gani?
Asante.
Nimeenda hospitali wameniambia nina U.T.I, wameniandikia sindano na dawa lakini bado hali inaendelea. Nifanyaje jamani, kuna aliyepitia hali kama hii na je, ulipona kwa njia gani?
Asante.