Exactly,huyo mama analake jambo tu.Mbona hao wanawake wa kirundi hawana tofauti na waha wenyewe? wanafanana karibia kila kitu kwanza wengi wao hua hawana shape..ukiacha wale wenye asili ya kitutsi wenyewe ni weusi warefu na pua kuchongoka..ila ni kama waha tu kimsingi...cc nyarubanda...
Bila ka picha hainogi kabisa Mkuu
Nimependa Hilo neno la mwisho ulilotumia 'Kweli kweli'Mbona hao warundi ni kama waha tu. Au labda watutsi nao wanakimbilia Kigoma badala ya kukimbilia Rwanda ?Wanawake wa kiha hawajui mapenzi ama ? Ila wana heshima kweli kweli.
Mnyarwanda hajawahi kumuacha mmbongo salama... Muulizeni a.y