Jerry santonga
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 642
- 550
Habari wakuu naomba kuuliza ada ya shule ya sekondari jitegemee Dar es salaam ni kiasi gani kuna ndugu yangu anahitaji kujiunga hapo kidato cha tatu
Ngoja waje! Au wamelala au wako HAI kwa wanamsaidia jamaa kubalance hesabu za matibabu ya Mhe. Lisu!!Habari wakuu naomba kuuliza ada ya shule ya sekondari jitegemee Dar es salaam ni kiasi gani kuna ndugu yangu anahitaji kujiunga hapo kidato cha tatu
Poa poa mdauNgoja waje! Au wamelala au wako HAI kwa wanamsaidia jamaa kubalance hesabu za matibabu ya Mhe. Lisu!!
Haifiki milioni moja.Habari wakuu naomba kuuliza ada ya shule ya sekondari jitegemee Dar es salaam ni kiasi gani kuna ndugu yangu anahitaji kujiunga hapo kidato cha tatu
Hiyo labda kwa wale wanaokaa hostel.1.2M
Aisee sawa...Haifiki milioni moja.
Inacheza kwenye laki 7-9.
Kumbe kuna hostel...palepaleHiyo labda kwa wale wanaokaa hostel.
Ada ya 5 na 6 tu haifiki huko.
Mkuu usinipoteze lakini nakuheshimu sawa ntaiweka katika machaguo yanguKwa hapo Temeke tafuta shule inaitwa Louis Montfort ipo yombo ni shule nzuri sana.
Au angalau St Anthony ingawaje nayo si nzuri sana kwa sasa.
Mbona mdau unajikata mtama mwenyewe alafu unapinga usiangukeUnaniuliza mie mkuu?
Mkuu usinipoteze lakini nakuheshimu sawa ntaiweka katika machaguo yangu
Yaaah zipo.Kumbe kuna hostel...palepale
"Wajomba hii, 1,200000 ndo ada ya apo fot?"1,200000/=
Boarding mkuu"Wajomba hii, 1,200000 ndo ada ya apo fot?"