Ni kama Millard Ayo
huwa anavaa earphone za rangi nyeupe.. Maranyingi sana unamkuta nazo, hadi alipoenda Asia kwenye tamasha la huawei akaitwa kwenye stage alizavaa na pale alikuwa anatazamwa na dunia nzima..
So nadhani ni mazoea..
Ni kama Temba na toothpick.