Huyu kaka ana matatizo, huyu ni mke wa nne, ndani ya miaka kumi kama sikosei... Dah... Alikuwa na watu wazima wawili, halafu akaoa kadada fulani keupe sana kanafanya benk fulani sasa sikui imekuaje ameoa tena... Hao wanawake anazaa nao kweli..!
Sheria imesainiwa lakini haijatangazwa rasmi, tiririkeni cha mwisho mwisho...