mkuu sitaki kiwakute kilichonipata!
Mmmmh yamekuwa haya
Nakuja boss
Ila beba kashata na kahawa kabisa ili kesi ifike muafaka
Majigo visa vyako haviishi!
Ndio yule uliyetishia kumuacha kwa style ya sitaki nataka?
Ulikujanje hebu weka pichaa ndio nichangie asije kua ni mvivu tu