maujanja ya kupata whatsapp kwenye iphone plss

maujanja ya kupata whatsapp kwenye iphone plss

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,268
Reaction score
8,572
Wakuu natumia iphone sasa naitaji kupata ile application ya whatasp kuna maujanja yoyote yanaweza kufanyika? I mean kwa kupata ile application kwa free
 
Inabidi ufanye jel breaking ya software kwanza Mzee then kupitia installous utapata free
 
mkuu WhatsApp ni free to all other supported Mobile platforms for the first year lakini kwa iOS ni $0.99 sio free
duh ni kwl mkuu nilichangaya hapo hana jinsi anabidi au jailbreak na a install an app called installous kutoka cydia ata pata like 90% za app zote from appstore for free (paid and free)
 
Aisee kwangu inauzwa usd 0.99
 
Sitaki kuamini kabisa kama mtu umenunua iphone kwa zaidi ya $800 af unashindwa kununua whatsapp kwa $0.99!!!!!
 
Sitaki kuamini kabisa kama mtu umenunua iphone kwa zaidi ya $800 af unashindwa kununua whatsapp kwa $0.99!!!!!
Kapewa zawadi, na siunajua mambo yakutoa cc online wizi mwingi...
 
Wakuu natumia iphone sasa naitaji kupata ile application ya whatasp kuna maujanja yoyote yanaweza kufanyika? I mean kwa kupata ile application kwa free

Unatumia iPhone gani na IOS ngapi? Mimi natumia IOS 6 imebidi ninunue tu whatsapp $0.99 wakati nasubiria Jailbreak yake,,vitu vidogo vidogo muhimu kama hivyo vya bei rahisi unafunga macho unanunua tu maramoja ili uwe nacho milele, itakusaidia usiwe unahangaika kila wakitoa IOS mpya,,
 
Ishu sio kinunua tatizo bwana ni kuweka details zako za bank online huo utamaduni hapa tz bado ujaingia vizuri. Kama wewe unaweza basi mimi nakupa cash then ubuy 4 me
 
Sitaki kuamini kabisa kama mtu umenunua iphone kwa zaidi ya $800 af unashindwa kununua whatsapp kwa $0.99!!!!!

mkuu kinachotushinda wengi sio kununua kwa $0.99....ila ni namna ya ununuaji maana wengine hatujawahi kusanya online transactions
 
Kununua kitu online bwana tena kwa kuweka detail zako za bank kuna siku unaweza kukuta salio lote jamaa wamelamba
 
duh ni kwl mkuu nilichangaya hapo hana jinsi anabidi au jailbreak na a install an app called installous kutoka cydia ata pata like 90% za app zote from appstore for free (paid and free)

Kaka toa maujanja hayo ya kwa kutumia installous, cydia ipo kwenye iphone yangu
 
Ishu sio kinunua tatizo bwana ni kuweka details zako za bank online huo utamaduni hapa tz bado ujaingia vizuri. Kama wewe unaweza basi mimi nakupa cash then ubuy 4 me
ntakununuliaje wakati Apple ID yangu nimeiLink na Credit Card yangu, ni ngumu lasiivyo unataka nikupe ID yangu na password,,,, ushauri: tengeneza Apple Account yako, link na credit card yako ya crdb, exim, stanbic etc yenye visa, mastercard etc ununue, ni rahisi na hawaibi hela..
 
Kaka toa maujanja hayo ya kwa kutumia installous, cydia ipo kwenye iphone yangu
How to Download Installous and Install fromCydia

Note: For this to work, you must have your iPhone/iPod/iPadjailbroken.

1. Turn on your Apple iPhone and open up Cydia.
2.Open the 'Manage‘tab and select 'Sources.'
3.On the top of your unlocked iPhone screen, select 'Edit' and then 'Add.'
4.You will be prompted to enter in a URL. Type in the following URL: http://cydia.hackulo.us
5.Wait a few minutes as the program begins to download. Once it says 'Complete,' hit 'Return to Cydia.'
6.Now, back on the Cydia screen, select Hackulo.us from the top menu, under 'Entered by User.'
7.Scroll down and select 'Installous.'
8.Press 'Install‘at the top of your screen.
9. Congratulations! You've just successfully installedInstallous on your iPhone!

3-Hackulo-Repo.jpg
4-Search-Installous.jpg
 
Haya ndugu thanx any way
tatizo hujajibu unatumia IOS ngapi na iPhone gani kama nlivyokuuliza!! kama hutumii IOS 6 unaweza kuelekezwa kuJailbreak ukapata hizo applications bure bila hata kuwa na Apple Account,,
 
huku africa kila kitu vocha bora watoe vocha za watsapp wazilete yote yataisha.
 
Back
Top Bottom