wataalam mwenye kujua jinsi ya kutumia simu kama bluetooth modem,naomba msaada wa maelekezo,natumia nokia e71,yaan nataka kutumia simu yangu kama modem kwa kuunganisha ktk kompyuta kwa bluetooth,natumia window 7 ktk kompyuta
Wataalam mwenye kujua jinsi ya kutumia simu kama bluetooth modem,naomba msaada wa maelekezo,natumia nokia E71,yaan nataka kutumia simu yangu kama modem kwa kuunganisha ktk kompyuta kwa bluetooth,natumia window 7 ktk kompyuta
kwanza tafuta nokia pc suite(tafuta katika mtandao wa nokia) alaf install in your computer then tumia hiyo software kuconnect computer na simu yako theni connect na internet.....
Ukifanikiwa leta feedback
pc suit ninayo tayari,ishu ni kuconect kwa blue tooth,maana kwa usb haina shida
[n]Unapo washa pc suite na kuconnect ina uliza unataka kuconnect kwa njia ipi, sikumbuki fresh coz niliitumia kitambo but check check on settings, I hope utapata hiyo solution[/b]
Feedback gani unayoitaka hapo mkuu..? Kwani Nokia PC Suite ina access ya bluetooth connection tangu lini? Sikiliza mtoa mada; nenda kwenye maduka ya stationery ulizia bluetooth adapter (bluesoleid), huwa iko kama flash. Watakupa maelekezo yote hapo, ni simple tu ku-install.kwanza tafuta nokia pc suite(tafuta katika mtandao wa nokia) alaf install in your computer then tumia hiyo software kuconnect computer na simu yako theni connect na internet.....
Ukifanikiwa leta feedback
Feedback gani unayoitaka hapo mkuu..? Kwani Nokia PC Suite ina access ya bluetooth connection tangu lini? Sikiliza mtoa mada; nenda kwenye maduka ya stationery ulizia bluetooth adapter (bluesoleid), huwa iko kama flash. Watakupa maelekezo yote hapo, ni simple tu ku-install.
Nilipokua na Nokia N73 wakati na connect na pc suite kulikua na hiyo option ya kuconnect kwa Bluetooth, labda version za hivi karibuni wametoa hiyo option
yah ni kweli si n73 ni nokia pc suite zote zinaconect na bluetooth jamaa halijui asemalo
lakini yategemea kama pc yenyewe ina bluetooth vinginevyo yabidi anunue hiyo kitu
Mi naona hili ndo la muhimu sana cuz kama una pc suite then huna bluetooth kwenye pc UTAKESHA:typing:lakini yategemea kama pc yenyewe ina bluetooth vinginevyo yabidi anunue hiyo kitu
kama ina bluetooth, tumia hii pc suite (link--> PC Suite) ya zamani, ya siku hizi doido nyingi tu (uninstall kwanza mpya kama unayo) then fuata haya maelekezo (hakikisha umetoa kila kitu cha nokia kwa uninstall a program)
1. kwanza install hii pcsuite (duhh!!)
2. ukifungua nokia pc suite, chagua click here to make a new connection
3. piga next hapa ukiwa tayari bluetooth yako ya pc na ya simu zikiwa on
4. chagua connection yako (in this case bluetooth)
5.kwa simu yako, uchague connect via pc suite ikishasoma kwenye pc yako (kwa kutokuwepo na nokia, utanisamehe kwa kushindwa kuongeza more screenshots)
6. presto!! u are connected
not connecting??
hakikisha bluetooth ya pc na ya simu zipo on na visibility ya bluetooth ya simu ipo on
ukipata hii error..
ujue laptop yako haina bluetooth
gimme some fedback ukishajaribu,
leh.xx
Feedback gani unayoitaka hapo mkuu..? Kwani Nokia PC Suite ina access ya bluetooth connection tangu lini? Sikiliza mtoa mada; nenda kwenye maduka ya stationery ulizia bluetooth adapter (bluesoleid), huwa iko kama flash. Watakupa maelekezo yote hapo, ni simple tu ku-install.