UMUCHAMICHI
Member
- Oct 20, 2012
- 41
- 13
Naomba kujua yale mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi tanzania kuua mtoto mdogo huko tarime akitokea dukani alikotumwa ,issue imeishaishaje?na ile ya polisi(traffic) kujiua kituoni hukohuko tarime ,kisa kakosea kuongoza msafara wa rais,haya mambo mbona hatuambiwi mwisho wake?