Mauaji ya Polisi sasa tishio

Mauaji ya Polisi sasa tishio

Sidhani kma marehemu alikua n silaha muda huo au aliiacha moro ndio akaja dar......mana walijua hana ndio mana walivamia kwake
 
Ukitumia common sense, huyo Jambazi aliekuja kutolewa ushahidi atakuwa anahusika in one way or another. Aliogopa huyu polisi aliyeuawa angetoa ushahidi angefungwa miaka 30, akaamua kuzuia ushahidi kabla haujafika mahakamani. Mi ningekuwa police ningeanzia hapo
 
jeshi la polisi kuruhusu siasa kwenye mambo ya msingi .. waache wavune wanayoyapanda
Adui mkubwa wa Policcm ni Chadema na CUF, ujambazi wala sio tatizo kwa policcm. Juzi nilimuona kwenye tv afande kova anavyomwaga povu kwenye kamera utafikiri amemfumania mke wake kumbe anakataza msafara wa ukawa akiwa amepata maagizo kutoka kwa bosi zake Lumumba. Ukawa wakichukuwa nchi hawa wakina kova ni wa kufukuzwa
 
Adui mkubwa wa Policcm ni Chadema na CUF, ujambazi wala sio tatizo kwa policcm. Juzi nilimuona kwenye tv afande kova anavyomwaga povu kwenye kamera utafikiri amemfumania mke wake kumbe anakataza msafara wa ukawa akiwa amepata maagizo kutoka kwa bosi zake Lumumba. Ukawa wakichukuwa nchi hawa wakina kova ni wa kufukuzwa
kupigwa exile kabisa
 
'vitambaa vyekundu usoni' 'hisia za kigaidi' 'kutoa ushahidi wa kikundi fulani' hayo maneno mbona mnayatoa kwa uoga fungukeni moja kwa moja tuwaelewe kwamba hayo matukio mnayahusisha na uislam, maana mnapochoka kuwaza ndo mnapoangukiaga hapo

kwani si ni kweli
 
Sidhani kma marehemu alikua n silaha muda huo au aliiacha moro ndio akaja dar......mana walijua hana ndio mana walivamia kwake

Walijuaje hana??!!
Mtu wa uwezo wake aache silaha Moro ya aende Dar. . . . kwa kazi hiyo iliyompeleka??!!!

Maswali mengi sana. . . . Watu wana silaha za moto ni wa kuwakata na panga??!!!
 
Sidhani kma marehemu alikua n silaha muda huo au aliiacha moro ndio akaja dar......mana walijua hana ndio mana walivamia kwake

Walijuaje hana??!!
Mtu wa uwezo wake aache silaha Moro ya aende Dar. . . . kwa kazi hiyo iliyompeleka??!!!

Maswali mengi sana. . . . Watu wana silaha za moto ni wa kuwakata na panga??!!!
 
Walijuaje hana??!!
Mtu wa uwezo wake aache silaha Moro ya aende Dar. . . . kwa kazi hiyo iliyompeleka??!!!

Maswali mengi sana. . . . Watu wana silaha za moto ni wa kuwakata na panga??!!!

Mkuu kuvamia kwa m2 ambae unajua yuko n silaha lazma kuna ki2 walijua.....hiyo stori y mtoto kua mzee alikua n bunduki ndani siziamini kabisa.....mimi ilishawahi nitokea 2009 nlikimbilia chumba walikua kma 9 halafu mapema 2 ni stori ndefu bt baada y kuingia rum nami nikapiga 3 za fasta wakakimbia so huyo police angepiga akiwa rum wangekimbia 2
 
hii hbr ya kusikitisha sn.
polisi inabidi wajipange na kuimalisha usalama...
 
Back
Top Bottom