mimi nashindwa kuelewa, hivi hata gadafi akibaki kua rais wa libya, hiyo damu iliyomwagika ya probably watu zaidi ya 200, anajisikiaje?? Is he really comfortable about it?? Haoni aibu wala hakimgusi moyoni mwake?? Mayb sisi hatujajua utamu wa madaraka, but kibinaadamu, this aint fair at all... Aondoke tu, pipo r dying kama siafu..