Mauaji ya Arusha!

Wow! Its so sad kusikika vitu kama hivi. Raha ya milele umpe eh bwana na mwanga wa milele umwangazie astarehe kwa amani. Pole nyingi kwa waliofikwa na msiba huu. Jeshi la polisi linahitaji kufanya kazi zaidi usiku na mchana kutuondolea watu kama hawa mitaani.
 
Kwa hiyo Mke na MME wameuawa ndani ya juma moja/mwezi mmoja?!, kwa hiyo siyo wizi wa pesa pekeyake bali kuna sababu nyingine!........... Sasa polisi wanatuambia nini?, lets hope wauaji watakamatwa wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.
Aliyeuawa ni MUME wa huyo dada. Kuna utata mwingi kuhusiana na kifo cha huyu ndugu!
 

hahahahahaaaaaa!!!
Heeee!!
Hii kiboko, yano dogo amemshikia muuza chips kitu cha baridi, anamwambia weka mishkaki fasta.....tena idadi yake iwe mitano.
Dadeki miaka 50 ya uhuni wa ccm.
 
hahahahahaaaaaa!!!
Heeee!!
Hii kiboko, yano dogo amemshikia muuza chips kitu cha baridi, anamwambia weka mishkaki fasta.....tena idadi yake iwe mitano.
Dadeki miaka 50 ya uhuni wa ccm.
hehehehe...umeona eeh:lol:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…