Mauaji Kampala Int.University

Mauaji Kampala Int.University

ngomeu

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
326
Reaction score
169
Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya mambo ya ndani,kuimarisha doria eneo la chuo hiki kilichopo Gongo la Mboto Dar,wanafunz wamekua wakijeruhiwa ovyo na wanaoitwa vibaka na kuibiwa vitu vyao,na tunaona Jumapil jion bint mdogo H.Mgaya mwanafunzi ameuawa eneo la getini maskini bila msaada wowote.IGP aangalee uwezekano wa kuimarisha ulinzi eneo hilo la chuo linaloviziwa na wengi wanaohatarisha usalama wa wanafunzi!
 
Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya mambo ya ndani,kuimarisha doria eneo la chuo hiki kilichopo Gongo la Mboto Dar,wanafunz wamekua wakijeruhiwa ovyo na wanaoitwa vibaka na kuibiwa vitu vyao,na tunaona Jumapil jion bint mdogo Anifa Mgaya mwanafunzi ameuawa kwa kuchomwa( imesemekana visu) eneo la getini maskini bila msaada wowote.IGP aangalee uwezekano wa kuimarisha ulinzi eneo hilo la chuo linaloviziwa na wengi wanaohatarisha usalama wa wanafunzi na kujeruhiwa mara kwa mara !
 
Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya mambo ya ndani,kuimarisha doria eneo la chuo hiki kilichopo Gongo la Mboto Dar,wanafunz wamekua wakijeruhiwa ovyo na wanaoitwa vibaka na kuibiwa vitu vyao,na tunaona Jumapil jion bint mdogo H.Mgaya mwanafunzi ameuawa eneo la getini maskini bila msaada wowote.IGP aangalee uwezekano wa kuimarisha ulinzi eneo hilo la chuo linaloviziwa na wengi wanaohatarisha usalama wa wanafunzi!
Chuo husika wapeleke walinzi wao auxiliary police course tena chuo cha polisi moshi bila kusahau waandae gari ya doria katika maeneo yao kama hali ilivyo pale UDSM.Ila ukisema nukumu la ulinzi ni la Police mungu wangu tutawapteza sana wataalamu wetu maana kanda ya Gongolamboto watu wake wengi wa maisha duni hivyo hapo wahalifu ni wengi sana na uhalifu ni mkubwa sana
 
KK security, Ultimate security, SGA..... hapo viongozi wa chuo wajiongeze tu.
 
KK security, Ultimate security, SGA..... hapo viongozi wa chuo wajiongeze tu.
Upo sawa,lkn Gvt yaeza tumia hata mgambo wake pia kwa maeneo hatarishi kama hayo,kuimarisha secururity,utakumbuka maeneo ya town askar polc wanapita na silaha maeneo mbalimbali kuanzia tme za saa 22 jioni,sasa huko pembezoni kungepewa kipaumbele pia,maana ndipo wahalifu wengi wamapokimbilia kujificha. Maeneo hayo ya chuo wanafunz wamekuwa wakijeruhiwa mara kwa mara,sio mara moja!
 
Upo sawa,lkn Gvt yaeza tumia hata mgambo wake pia kwa maeneo hatarishi kama hayo,kuimarisha secururity,utakumbuka maeneo ya town askar polc wanapita na silaha maeneo mbalimbali kuanzia tme za saa 22 jioni,sasa huko pembezoni kungepewa kipaumbele pia,maana ndipo wahalifu wengi wamapokimbilia kujificha. Maeneo hayo ya chuo wanafunz wamekuwa wakijeruhiwa mara kwa mara,sio mara moja!
Sorry,kuanzia saa 12 jioni.
 
Chuo husika wapeleke walinzi wao auxiliary police course tena chuo cha polisi moshi bila kusahau waandae gari ya doria katika maeneo yao kama hali ilivyo pale UDSM.Ila ukisema nukumu la ulinzi ni la Police mungu wangu tutawapteza sana wataalamu wetu maana kanda ya Gongolamboto watu wake wengi wa maisha duni hivyo hapo wahalifu ni wengi sana na uhalifu ni mkubwa sana
Kile si chuo cha umma.
Auxiliary police huwezi tu kuwarecruit maadam tu una fedha.
Nadhani sheria za askari wasaidizi(auxiliary police) hujazipitia.
Kama wana fedha wanaweza kuomba National police men wakawafanyia kazi.
 
Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya mambo ya ndani,kuimarisha doria eneo la chuo hiki kilichopo Gongo la Mboto Dar,wanafunz wamekua wakijeruhiwa ovyo na wanaoitwa vibaka na kuibiwa vitu vyao,na tunaona Jumapil jion bint mdogo H.Mgaya mwanafunzi ameuawa eneo la getini maskini bila msaada wowote.IGP aangalee uwezekano wa kuimarisha ulinzi eneo hilo la chuo linaloviziwa na wengi wanaohatarisha usalama wa wanafunzi!
Harafu kambi ya jeshi ipo karibu tuu
 
KK security, Ultimate security, SGA..... hapo viongozi wa chuo wajiongeze tu.
Tatizo wanapenda vya bei nafuu badala ya kuajiri Security Guards/officers wanaajiri ma Watchmen...yaani vyuo vingi walinzi ni wachovu sana hata UDSM hostel za mabibo zilikua zinalindwa na kampuni moja la kigemu ...siku moja majambazi walivaamia zile Mpesa za pale nje hakuna mlinzi aliyebaki getini wote walikmbia gate liliachwa wazi..
 
Tatizo wanapenda vya bei nafuu badala ya kuajiri Security Guards/officers wanaajiri ma Watchmen...yaani vyuo vingi walinzi ni wachovu sana hata UDSM hostel za mabibo zilikua zinalindwa na kampuni moja la kigemu ...siku moja majambazi walivaamia zile Mpesa za pale nje hakuna mlinzi aliyebaki getini wote walikmbia gate liliachwa wazi..
Duh! Hatari jamani
 
Mimi nafikiri ungeanzishwa msako mkali kitongoji kizima nyumba kwa nyumba hili kubaini wezi hao mana ni watu ambao wanajulikana kabisa na wakazi wa hapo
 
Mimi nafikiri ungeanzishwa msako mkali kitongoji kizima nyumba kwa nyumba hili kubaini wezi hao mana ni watu ambao wanajulikana kabisa na wakazi wa hapo

Ni kweli,naskia msako umeashaanza!
 
Safi kabisa hapo sasa mambo yamekaa powa na suala la ulinzi la hapo itabidi uwe mkali sana kwa uzoefu wangu maeneo ya chuo yanakumbwa sana na vitendo vya kiarifu
Ni kweli,naskia msako umeashaanza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom