Mau anajua. Kuna movie kacheza kama.mume bwege ametisha sana
Anatumia jina la MbrazilRapa au Mau Fundi.mie movie zake sijawah ziona as sina mapenzi au muda .namuona sana dstv..ananichekesha sana..ngoja nianze mfatilia..insta anatumia jina gan
Nilicheka mpaka basi....anakwambia baya wakati machozi yanamlenga" Kombe lenyewe baaayaa"
# Mau Fundi wewe hauna kipaji ila wewe ndo KIPAJI chenyewe..kukwambia una kipaji cha kuchekesha ni kukukosea heshima kwa sababu wewe ndo kipaji chenyewe.




Hahahaha.
Picha zake hazipakuliki hata screenshoot haikubali.Picha jamani wengine tuko huku Burigi.
Huwezi nishinda mm....nimeanza kumfuatilia kipindi akiwa na Tin white kwenye kipindi kinaitwa Ndio mzee kupitia DTV channelHuyu dogo nadhan ndo msanii nikimuona naanza kucheka...hahaha..kako smart sana.. Mau huwez mfananisha na Mpoki ht siku 1
Ngoja nikamuone kiongoziHujaiona video clip ya Mau @ Instagram?
Picha jamani wengine tuko huku Burigi.
Huyo sasa, enjoyKwan unasema ivo mkuu??