Matusi ya Moise Katumbi kwa Yusuf Manji

Matusi ya Moise Katumbi kwa Yusuf Manji

kwani hujui kama pale kaenda kufichama ili wasiojua wasielewe kitu kuhusu madhambi yake ya Epa?
Ingekua hivyo basi rostam azizi nae angetafuta pa kufichama,kwani nani wa EPA ambae hajafichama yanga kama manji umemuona Segerea na yale mavazi meupe?

Sidhani kama wezi wa EPA wanahitaji kufichama yanga ili mkono wa sheria usiwafikie kwani wengi bado wanapeta mtaani,tafuta sababu na ushawishi mwingine
 
Back
Top Bottom