Matusi ya Makongoro yachafua hali ya hewa Dodoma

Matusi ya Makongoro yachafua hali ya hewa Dodoma

Hewa mkaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
748
Reaction score
386
Hali hiyo ilijitokeza jana ambapo Makongoro Nyerere kuweka sera za CCM pembeni na kuanza kutoa kashfa kwa wagombea wa vyama vya siasa hususani Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa na mgombea Ubunge Benson Kigaila.
 
CCM wameona wameshindwa tayari, sasa kilicho baki ni matusi tuu.
 
Huyu jamaa hana akili kabisaaa!! Ukimsikiliza utajua hilo.! Amewekwa CCM kwa fadhira za baba yake!! Ila ki ukweli hana
personality ya kuwa kiongozi au kuiongoza Tanzania kwenye Ubunge wa Africa Mashariki.!!
 
CCM ya leo haina wazee wenye busara tena?
 
Sijajua kwa nini tangu kampeni zimeanza jamaa kakomalia matusi na mipasho tu. Inanishangaza sana.? Sijui ni IQ ndogo au nini.? Kwani akipanda jukwaani akisema ccm itafanya 1 2 3 nk atapungukiwa nini.!?
 
Hivi magu umategemea uwe kiongozi kwa promo za matusi hizi:-D;-)

Sahau jamaa angu.
 
.. Dr.Mo yule dogo ni mnywa gongo tu....
 
Last edited by a moderator:
Sijajua kwa nini tangu kampeni zimeanza jamaa kakomalia matusi na mipasho tu. Inanishangaza sana.? Sijui ni IQ ndogo au nini.? Kwani akipanda jukwaani akisema ccm itafanya 1 2 3 nk atapungukiwa nini.!?

Bange+Gongo.
 
Sijajua kwa nini tangu kampeni zimeanza jamaa kakomalia matusi na mipasho tu. Inanishangaza sana.? Sijui ni IQ ndogo au nini.? Kwani akipanda jukwaani akisema ccm itafanya 1 2 3 nk atapungukiwa nini.!?

Mtu mzima kama yule lazima ni stress zinamuandama.Nakuhakikishia watu wanamsaidia kule nyumbani.
 
Inasemakana toka kampeni zianze Lowasa ametukanwa kwenye majukwaa ya ccm mara 121 kama na hilo limetokea litakuwa la 122 ambalo litakuwa limetimiza wastani wa matusi zaidi ya 5 kila siku POLE SANA LOWASSA
 
Sijajua kwa nini tangu kampeni zimeanza jamaa kakomalia matusi na mipasho tu. Inanishangaza sana.? Sijui ni IQ ndogo au nini.? Kwani akipanda jukwaani akisema ccm itafanya 1 2 3 nk atapungukiwa nini.!?

Yeye mwenyewe hajui CCM itafanya nini, maana miaka yote wamesema watafanya mengi saana lakini wametekeleza sifuri. Kwa hiyo anaona badala ya kuahidi ambayo tayali mengi walishayaahidi, anaona ni bora aje na jambo jipya ambalo ni matusi.
 
Makongoro utadhani mtoto wa mitaani hata hekima ndogo ya baba yake hana japo amekulia ikulu ni aibu sana kwa taifa la tz

Ni mtoto wa mitaani haswa ndio maana limeishia kuwa levi na kulelewa na mkewe..we mtu anazaa zaa hovyo na wauza gongo na ma house girl unamuona mzima huyo?
 
Back
Top Bottom