Kwa mimea inayotegemea uchavushaji wa wadudu ni vyema dawa apulize jioniMkuu kuoza kwa vitunda inaweza kuwa ni uwekaji dawa nyingi kama Dasban.
AU
Kuna wadudu wadogo ambao kienyeji huko mitaani wanaitwa inzi wa maembe hao huozesha hivyo vitunda vichanga vya tikiti. Kuna dawa nimesahau jina huwa unaweka kwenye vikopo unaweka sehemu nyingi shambani hao wadudu wanakimbia.
AU
Uchavushaji (pollination) sio mzuri kama alivyosema mdau ktk ile namba 1, nyuki wanaweza kuwa wengi lakini hawatui na kunyonya asali kwenye maua sababu ya harufu ya madawa. Kwa hivyo unatakiwa upulize dawa alfajiri au jioni karibu giza kabisa. Ikikulazimu punguza kiwango cha madawa makali.
NB: Watafute kilimomaarifa wana thread humu JF watakusaidia vizuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app