Matumizi yangu Juni

Matumizi yangu Juni

Aisee,Mimi nina mbwa 4 wa kizungu wanakula chakula cha Tsh 118000 kwa mwezi yaani hapo sijaweka chanzo na madawa mengine.Yaani baada ya bandiko la jamaa ndo nikapiga hesabu,means natumia zaidi 1440000 kwa mwaka bila matibabu na matunzo mengine,nimejilaumu ghafla but too late coz ninapenda sana mbwa pia nikajikuta watoto wangu nao wanawapenda mbwa hao,sina namna.
Nina 5 kids wote wapo shule za kati and l love my family so naipa furaha yote ninayoweza but nimeona ukianza kupiga hesabu za matumizi ya familia unaweza kuchanganyikiwa!Wewe ni mbele kwa mbele hamna haja ya review unayoyafanya kwa family,cha msingi ni review mambo ya nje kama starehe,usafiri,marafiki na ndugu n.k. Hapa duniani tunapita

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Hivi forex inalipa kweli ?

Naonaga kama wachezaji wa bongo njaa kali

Inategemea, kama ni mgeni kiukweli nnakushauri usiingie
Ukisoma na kuijua kidogo ni kama unaona kabisa hella hizi hapaa, ila ukiingia utakosa na kupoteza hella zako, mi ni mwaka wa tatu na kidogo tangu niingie majuz nmepata kidogo

Ila unaweza kujua kila kitu moyo wako ukakataa, ni kama kasino
IMG_0566.png
 
Sio lazima kanisani pia, kuna sehemu fungu la kumi wameandika kimsingi litumike 'kula bata' wewe na wanafamilia wako Kumbukumbu la Torati 14:22-29

Kwa mtoa mada: wazo la kuwa na hiyo app ni zuri nimelipenda wengine tunatumia tu hatuandiki. Kulijua tatizo ni hatua kubwa sana kusolvu matumizi binafsi

Kwa maisha ya kawaida mi ni moja ya watu wabahiri sana kutokea
Lkn sikuzote mahesabu ndo husema kweli

Ata mtu wa kawaida aokote bingo la mil50
Nina hakika baada yamiez miwili itafika nusu yake,
Ila akiandika ndo atajua wapi pa kuacha, wapi pa kufunga
 
Aisee,Mimi nina mbwa 4 wa kizungu wanakula chakula cha Tsh 118000 kwa mwezi yaani hapo sijaweka chanzo na madawa mengine.Yaani baada ya bandiko la jamaa ndo nikapiga hesabu,means natumia zaidi 1440000 kwa mwaka bila matibabu na matunzo mengine,nimejilaumu ghafla but too late coz ninapenda sana mbwa pia nikajikuta watoto wangu nao wanawapenda mbwa hao,sina namna.
Nina 5 kids wote wapo shule za kati and l love my family so naipa furaha yote ninayoweza but nimeona ukianza kupiga hesabu za matumizi ya familia unaweza kuchanganyikiwa!Wewe ni mbele kwa mbele hamna haja ya review unayoyafanya kwa family,cha msingi ni review mambo ya nje kama starehe,usafiri,marafiki na ndugu n.k. Hapa duniani tunapita

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app

Kweli kaka, nilinunua mbwa niwe nauza baada ya wakati flani ila nikaacha kwa kuhisi mahesabu yatakataa, sema ukiwa na mbegu nzuri ni biashara nzuri sana, sema uwe na eneo kubwa, maana wanakunya hatari

Sina familia, ila we mwenye nayo matumizi yako lazma ni mara nyingi zaidi yangu
Ila kizuri mengi mabaya yanahepukika
 
Inategemea, kama ni mgeni kiukweli nnakushauri usiingie
Ukisoma na kuijua kidogo ni kama unaona kabisa hella hizi hapaa, ila ukiingia utakosa na kupoteza hella zako, mi ni mwaka wa tatu na kidogo tangu niingie majuz nmepata kidogo

Ila unaweza kujua kila kitu moyo wako ukakataa, ni kama kasino
View attachment 2286305
Hiyo 432 ni dollar

Unaweza itoa ?
 
Acha kabisa ngoja nikacheki account yangu niliitelekeza 2018 nitupie kuna cha kujifunza
 
Apo nimeweka tu ila forex imechukua sehem kubwa ya matumizi mwezi huu
Mtu mwenye upeo anaweza jua mimi ni mtu wa aina gani, labda -kwenye matumizi yangu hakuna sehem ya sadaka, ko sijaenda kanisani mda
View attachment 2278512
View attachment 2278513
Mzee baba hiyo gari inayotumia hela nyingi garege kuliko hata mafuta inayotumia siyo gari bali unatembelea rundo la vyuma.
 
Mzee baba hiyo gari inayotumia hela nyingi garege kuliko hata mafuta inayotumia siyo gari bali unatembelea rundo la vyuma.


Nilbadrisha matairi na shock-up zote
Natumai mwez ujao na inayoendelea matumiz yatakuwq mafuta tu
 
Aisee,Mimi nina mbwa 4 wa kizungu wanakula chakula cha Tsh 118000 kwa mwezi yaani hapo sijaweka chanzo na madawa mengine.Yaani baada ya bandiko la jamaa ndo nikapiga hesabu,means natumia zaidi 1440000 kwa mwaka bila matibabu na matunzo mengine,nimejilaumu ghafla but too late coz ninapenda sana mbwa pia nikajikuta watoto wangu nao wanawapenda mbwa hao,sina namna.
Nina 5 kids wote wapo shule za kati and l love my family so naipa furaha yote ninayoweza but nimeona ukianza kupiga hesabu za matumizi ya familia unaweza kuchanganyikiwa!Wewe ni mbele kwa mbele hamna haja ya review unayoyafanya kwa family,cha msingi ni review mambo ya nje kama starehe,usafiri,marafiki na ndugu n.k. Hapa duniani tunapita

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Duuh hao mbwa mbona ni balaaa wanakutia umaskini tu
 
Hiyo fuel 120k from where to where? I am planning to buy a car,so fuel nikaws niweka bajeti ya 180k.nakaa sinza kazi ni posta
 
Hiyo fuel 120k from where to where? I am planning to buy a car,so fuel nikaws niweka bajeti ya 180k.nakaa sinza kazi ni posta

Kama sinza to posta weka laki5
Endapo utalitumia kila siku, linaweza kufika laki8 kama misele mingi

Em kwanza, Gari aina gan hilo
 
Hiyo fuel 120k from where to where? I am planning to buy a car,so fuel nikaws niweka bajeti ya 180k.nakaa sinza kazi ni posta

gari ikiwa nzma na ni gari ndogo 180k misele ya kazini home inatosha sanaa.
 
Kama sinza to posta weka laki5
Endapo utalitumia kila siku, linaweza kufika laki8 kama misele mingi

Em kwanza, Gari aina gan hilo

hamna bana labda kama ni petrol V8. natumia Pajero V6 3000cc nakaa Goba kazi Posta nachoma 600k
 
hamna bana labda kama ni petrol V8. natumia Pajero V6 3000cc nakaa Goba kazi Posta nachoma 600k
Sipo dsm sahv, enzi izo niko uko nilkuwa nasoma st joseph nakaa mabibo nasoma St joseph
Gari Subaru legacy 2000cc
Full tank ni about 60ltrs na nlkuwa naweka kwa 140000 hivi, ila two weeks haifiki, na apo unaenda opossite na foleni, sa ukiingia mjin toka uko tegeta na folen ya kule kwel, na apo bado mafuta yamepanda
Mana enz hizo kwenda city center consumption ilikuwa inasoma adi 4.6km/litre
Naweza kukosea lkn, ila ligari kama brevis au crown inatumia zaid ya hyo
 
Back
Top Bottom