Kwahiyo huko forex kulikuwa kuna hali gani mkuu mpaka ukaamua kutupia ½ ya mapato yako ya mwezi june kideposit hukoNaandika tu matumizi maana ndo nataka niyacontrol coz nafanya biashara
Sahv gar lilizingua ambalo ni la kazi pia na kuweka hella forex ndo kumepandisha sana matumizi
