Matumizi ya ukucha mrefu kidoleni

Matumizi ya ukucha mrefu kidoleni

Malaika AD

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
496
Reaction score
316
Habari zenu humu,

Wafugaji wapo wengi jamani wewe fuga kuku, wenzako wanafuga ukucha, kha! Hawa wafugaji wako vijijini na mijini, hivi katika pitapita zako mdada ukikutana na mwanaume amefuga ukucha mdogo wa mwisho inakujia picha gani! Kuna mtu kaleta shuhuda za mambo ya ukucha, basi watu wanambishia hawaamini.

Mimi nilichogundua hawalielewi hili jambo la huu ukucha wa kidole kidogo. Maana wanaona ni uchafu na utovu wa kinidhamu mtu na heshima zako kujifugisha ukucha wapi na wapi, wengine wanaona ushamba (jambo la kizamani) tu kwakua wala haina umuhimu sana.

Kuna wanaosifia matumizi yake hadi kuwavutia wengine kutaka kuonja inakuwaje kuwaje? Mmmmm! Leo hii kuna mbabu asubuhi nimekaa nae jirani kanisani umri unaonesha ashajichokea, lakini kutupa jicho kidoleni ana ukucha wake kaufuga mrefu! Au wengine wanaishi familia humo ndani utaona kaka mtu kafuga ukucha, heeee! Nini matumizi yake?

Jamani watu wengi tu hawajui ule ukucha unatumikaje, wengine wanachojua ni unatumika wapi lakini jinsi ya kuutumia hawajui. Sio jambo geni maana kuna vijana kwa wazee wamefuga huo ukucha wa kidole cha mwisho (ingawa ni wachache). Lakini kuna wanaofuga kuiga mkumbo tu na hawajui wautumie vipi, ndo hapo linapokuja suala la kuparuana na kuumizana.

Basi ninyi mliowahi kutumiwa kwa ukucha na wanaume mliofuga huo ukucha fungukeni mueleze kunanini huko kwenye huo ufugaji na jinsi ya kuutumia watu waongeze maarifa.
 
Kukuna kisimi ndo kazi yake kubwaa then hua sipendi na hua namdharau mtu anaoufuga
 
Wanawake ndio wanaongoza ktika hili, pamoja na wanaume masharobaro. tena mkono wa kushoto. huwa najiuliza, akienda kutita, akijitawadha si mimavi inabakia mle kwenye ukucha na akitoka pale moja kwa moja jikoni kushika vyakula.

kitu cha ajabu ni kwamba huwa wanajitumbukiza hadi kwenye shimbo la memory card na ajabu Mungu alivyoumba hata hachubuki kwasbabu kuna mtelezo, cha kujiuliza si mautoko yale yanabakia mle kwenye kucha, akitoka hapo moja kwa moja jikoni pengine hajanawa mikono na hata akinawa bado uchafu unabaki kwenye kucha. mtu kama huyo mi huwa naona mchafu.

wewe unayesema ni wa kusugulia kisimi, sina usemi kwasababu mimi ni mwanaume sina kisimi....ninyi wanawake ndio mnajua. ila kusema ukweli ni uchafu wa hali ya juu. mwanamke mwenye mikucha mimi huwa simchukui na vitu vyake akinipa huwa navishika kwa kinyaa kwasababu nahisi nimeshika kinyesi chake tu. au mkienda chooni huwa hamtawadhi mnarudi na nnya masaburini?
 
Maelezo meengi nikajua utaweka na jibu, haya ngoja tukutafutie
 
Binafsi nachukia na nawachukia wafuga kucha wote wanawake au wanaume.

Ule niujinga tu.
 
wanawake ndio wanaongoza ktika hili, pamoja na wanaume masharobaro. tena mkono wa kushoto. huwa najiuliza, akienda kutita, akijitawadha si mimavi inabakia mle kwenye ukucha na akitoka pale moja kwa moja jikoni kushika vyakula.

kitu cha ajabu ni kwamba huwa wanajitumbukiza hadi kwenye shimbo la memory card na ajabu Mungu alivyoumba hata hachubuki kwasbabu kuna mtelezo, cha kujiuliza si mautoko yale yanabakia mle kwenye kucha, akitoka hapo moja kwa moja jikoni pengine hajanawa mikono na hata akinawa bado uchafu unabaki kwenye kucha. mtu kama huyo mi huwa naona mchafu.

wewe unayesema ni wa kusugulia kisimi, sina usemi kwasababu mimi ni mwanaume sina kisimi....ninyi wanawake ndio mnajua. ila kusema ukweli ni uchafu wa hali ya juu. mwanamke mwenye mikucha mimi huwa simchukui na vitu vyake akinipa huwa navishika kwa kinyaa kwasababu nahisi nimeshika kinyesi chake tu. au mkienda chooni huwa hamtawadhi mnarudi na nnya masaburini?

Ndio nichakusuguli we unadhan wanafuga cha nini sasa
 
Ndio nichakusuguli we unadhan wanafuga cha nini sasa

sasa kama anajisugua, si italowa na vidole vyake vitakuwa vichafu, na akienda chooni huwa ananawaje sasa? au anapojitawaza si atastukia kucha lote linakwangua....au huwa hamnawi mkienda chooni?

mimavi yenu lazima inabaki kwenye kucha na ndiyo mnayolisha watu kwenye vyakula vya jikoni.kuna mmoja alikuwa ananiscrub salon, nilimfukuza wakanibadilishia manake kucha zake zinawezanikwarua sawa tu na matumizi ya kiwembe multiple persons.
 
sasa kama anajisugua, si italowa na vidole vyake vitakuwa vichafu, na akienda chooni huwa ananawaje sasa? au anapojitawaza si atastukia kucha lote linakwangua....au huwa hamnawi mkienda chooni?

mimavi yenu lazima inabaki kwenye kucha na ndiyo mnayolisha watu kwenye vyakula vya jikoni.kuna mmoja alikuwa ananiscrub salon, nilimfukuza wakanibadilishia manake kucha zake zinawezanikwarua sawa tu na matumizi ya kiwembe multiple persons.

:what::what::what: umesha wahi kuniona kuchangia hakumaanishi na kucha ndefuuuuuu eboooo:confused
 
Kuna dada fulan hiv rafiki angu kaniuliza
"Kwann wanaume wanafuga ukucha kidole kimoja au viwili"
Nikamjibu kuwa sijui
Akaniambia kuwa alidhani ninao huo ukucha.

Ndo ikanibidi nizame jf kuona kazi za huo ukucha duh

Sasa cjui alimaanisha nn
 
Ukiona mtu kafuga kucha moja mkono wa kushoto bila shaka huyo atakua ni sniffer wa ngada!!
 
Back
Top Bottom