Matumizi ya simu kwenye ndege

Matumizi ya simu kwenye ndege

kwa sbabu wengi hatujui flight mode especially mimi yangu haina kabisa hicho kidude labda ni offline
 
Hivi kwanini ukipanda ndege zetu za hapa bongo huwa wahudumu wa ndege wanakulazimisha kuzima simu......wakati simu nyingi huwa zina flight mode .....

kwa kawaida unapaswa kuiweka kwenye "flight mode" yaani kwenye mode ambayo "network" itakuwa off.lakini kutokana na uzito wa uelewa wetu ndo maana huwa tunaambiwa tuzime.kwa kawaida tunapaswa kuzima wakati wa kupaa "takeoff" na wakati wa kutua "landing".ila ndege itakapokuwa imetulia angani 35,000ft or above unaruhusiwa kutumia simu,ila kwa bahati mbaya sana kwa umbali huo kutoka ardhini katika maeneo mengi huwa network haipatikani.
 
kwa kawaida unapaswa kuiweka kwenye "flight mode" yaani kwenye mode ambayo "network" itakuwa off.lakini kutokana na uzito wa uelewa wetu ndo maana huwa tunaambiwa tuzime.kwa kawaida tunapaswa kuzima wakati wa kupaa "takeoff" na wakati wa kutua "landing".ila ndege itakapokuwa imetulia angani 35,000ft or above unaruhusiwa kutumia simu,ila kwa bahati mbaya sana kwa umbali huo kutoka ardhini katika maeneo mengi huwa network haipatikani.
umeongea vyema rubani
 
Kuna Siku Npo Kwenye Fastjet Mbeya To Dar Mhudumu Pamoja Nakumuelewesha Kwamba Simu Yangu Ina Flight Mode Ila Bado Aliningangania Ni Switch Off.

Wabongo hatuaminiki ..!
Alikuwa na haki ya kukulazimisha /kukusihi uzime kimeo.
 
Huwa wana hisi kwamba unaweza kuwasiliana na magaidi a.k.a boko haramu
 
me nahisi mawasiliano huwa yanaingiliana hivyo inaweza kumchanganya rubani,na wakati mgumu wa ndege ni wakati wa kupaa na kutua ardhini pale panahitajika utulivu wa mawasiliano.
 
Wahudumu wenyewe nao si vilaza! Na abiria pia nao huwez kuwatofautisha ndo maana tunaawambiaga mzime visim vyenu! Kuepusha lawama mbelen
 
Back
Top Bottom