Matumizi ya simu kwa watoto na vijana wetu

Kitu cha muhimu ni kuwaelimisha watoto juu ya uzuri na ubaya wa matumizi ya simu. Hasa mtoto anapokwenda shule ya boda. Sasa hawa watoto waliofukuzwa shule walipewa warnings kabla au ni hatua gani zilichukuliwa? Wengi simu walinunuliwa na wazazi wao bila ya shaka
Kwenye joining instructions ya shule zote za serikali imewekwa marufuku ya simu kwa maandishi meusi
Mawasiliano ya simu hufanywa na mzazi kupitia simu ya mwalimu.
Hao watoto waliokutwa na simu walikosea sana na wamewapa shida wazazi wao haswa baada ya kufukuzwa kabisa itabidi wakarafutiwe shule binafsi za kulipia tofauti na za serikali ni 20,000 tu kwa mwaka
 
Kwenye joining instructions ya shule zote za serikali imewekwa marufuku ya simu kwa maandishi meusi
Mawasiliano ya simu hufanywa na mzazi kupitia simu ya mwalimu.
Hao watoto waliokutwa na simu walikosea sana na wamewapa shida wazazi wao haswa baada ya kufukuzwa kabisa itabidi wakarafutiwe shule binafsi za kulipia tofauti na za serikali ni 20,000 tu kwa mwaka
Tena sio 20,000 tena bali ni BUREEE kabisa means mzazi haingii gharama yoyote ihusuyo ada ila baada ya "technolojia na utandawazi" huyu mzazi aanze kuota kipara kutafuta ada ya laki kadhaa hadi million kadhaa kusomesha mwanae...
 
UKICHUNGUZA KWA KARIBU UTAFAHAMU WALE WOTE WANAOSAPOTI WANAFUNZI WAMILIKI SIMU SHULENI ASILIMIA KUBWA NI WANAFUNZI HAO HAO NA WANAHARAKATI UCHWARA

HUNA HAJA YA KUMUOMBA MWANAFUNZI SIMU YAKE KUJUWA NN ANACHOKIFANYA

UKITAFUTA AKAUNT YAKE INSTA,UKAJA FACEBOOK,UKIMALIZIA NA WHATSAPP STATUS HAPO NDIPO UTAKAPOJUWA KUWA MWANAFUNZ HAFAI KUPATIWA SIMU

HUWA NASIKITIKA SANA KUONA POSTS ZA WATOTO WA MJOMBA WANAOKAA DAR, UNAONA KABISA KUPOTEA KWA MTOTO

WATU TULIOPITIA HIZO ANGA TUNAFAHAMU UBAYA WA SIMU KWA WANAFUNZI,HIVYO MWANAFUNZ YAKE KOMPYUTA SIYO SIMU
 
UKICHUNGUZA KWA KARIBU UTAFAHAMU WALE WOTE WANAOSAPOTI WANAFUNZI WAMILIKI SIMU SHULENI ASILIMIA KUBWA NI WANAFUNZI HAO HAO NA WANAHARAKATI UCHWARA

HUNA HAJA YA KUMUOMBA MWANAFUNZI SIMU YAKE KUJUWA NN ANACHOKIFANYA

UKITAFUTA AKAUNT YAKE INSTA,UKAJA FACEBOOK,UKIMALIZIA NA WHATSAPP STATUS HAPO NDIPO UTAKAPOJUWA KUWA MWANAFUNZ HAFAI KUPATIWA SIMU

HUWA NASIKITIKA SANA KUONA POSTS ZA WATOTO WA MJOMBA WANAOKAA DAR, UNAONA KABISA KUPOTEA KWA MTOTO

WATU TULIOPITIA HIZO ANGA TUNAFAHAMU UBAYA WA SIMU KWA WANAFUNZI,HIVYO MWANAFUNZ YAKE KOMPYUTA SIYO SIMU
ni kweli wanaosapoti wengi ni wanafunzi ndo mana sijamjibu mwanafunzi mmoja mpumbavu hapo juu.
 
Mtoto kumuelekeza mzazi sio dhambi. Lazima ujifunze kuwasikiliza watoto wako badala ya kuwasimamia kama makuruta!

Nikifuatilia historia yako nitabaini ulikuwa unapigwa vipigo vikali na wazazi wako ndio maana umejaa ghadhabu za kuumiza wengine. Hilo ni tatizo la akili.

Hata Rais wa nchi inaonekana alipitia maisha magumu sana ya kuonewa na kuumizwa umizwa.

He is so bitter!
Usihangaike na midanganyika, mingi imekulia maisha ya kijima.

Jamani "Kila zama na nabii wake"
 
Kulea teenager ni kazi ngumu Sana tena teenager wa kipindi hiki chenye WhatsApp na Instagram
Ni wanafunzi wachache mnooo ambao wanafanya matumizi sahihi ya simu.
siku hizi kuna video clips za wanafunzi wakiwa darasani wanafanya ngono, wengine wanabambiana, vibinti vinashindana kukatika n.k

halafu unakuta kuna punguani anakuja hapa kusapoti wanafunzi kuwa na simu.

vijana wa kiume kwenye mabweni wanaishia kuingia kwenye porno sites wanaangalia video za utupu na mwisho wake kujichua..

unakuta kijana kuanzia Form One mpaka Form Six anajichua tu.. ndo mana wengi ni wahanga wa ukosefu wa nguvu za kiume.
 
Mimi tangu darasa la 6 namiliki cm tena smartphone.. nina miaka 2 tangu nimalize bachelor, sijawahi kuferi .. na cm nilikuwa natumia kwa jinsi ninavyotaka mm.

Kwahyo mm naona inategemea na akili ya mwanafunzi mwenyewe.
 
siku hizi kuna video clips za wanafunzi wakiwa darasani wanafanya ngono, wengine wanabambiana, vibinti vinashindana kukatika n.k

halafu unakuta kuna punguani anakuja hapa kusapoti wanafunzi kuwa na simu.

vijana wa kiume kwenye mabweni wanaishia kuingia kwenye porno sites wanaangalia video za utupu na mwisho wake kujichua..

unakuta kijana kuanzia Form One mpaka Form Six anajichua tu.. ndo mana wengi ni wahanga wa ukosefu wa nguvu za kiume.
Mungu atusaidie
Jamii na wazazi tuna kazi kubwa mno ya kulea hiki kizazi chenye challenge
Ukiwakuta Sasa kwenye mikutano yao ya mlimani city 🙌🙌 hayo magroup ya WhatsApp plus hizo status zao.
 
Mimi tangu darasa la 6 namiliki cm tena smartphone.. nina miaka 2 tangu nimalize bachelor, sijawahi kuferi .. na cm nilikuwa natumia kwa jinsi ninavyotaka mm.

Kwahyo mm naona inategemea na akili ya mwanafunzi mwenyewe.

kweli?
 
Tekinelojia imeendelea sana. Sasa hivi mawasiliano yamerahisishwa mno. Mtu aliye Mpanda anaweza kumpa helavya mboga mtu wa Nanjilinji kupitia simu.

Kwa wazazi wengi tunawanunulia watoto simu kwa sababu za kiusalama. Hata ukiwa kazini, safarini au shughulini mtoto anakutaarifu shida yake na unaweza kumsaidia kama mzazi.

Kitu cha muhimu ni kuwaelimisha watoto juu ya uzuri na ubaya wa matumizi ya simu. Hasa mtoto anapokwenda shule ya boda. Sasa hawa watoto waliofukuzwa shule walipewa warnings kabla au ni hatua gani zilichukuliwa? Wengi simu walinunuliwa na wazazi wao bila ya shaka.
Hawaruhusiwi kuwa na simu kitu ambacho mimi kimenishangaza muda tu.ni km mtoto akiingia kule yuko jela.its ok asiingie na simu darasani,lakini hapo shule mabwenini janga lolote laweza tokea,akiwa angalau na kitochi na visalio atakupigia baba huku utakurupuka kumfata au kwenye kitochi chake utamtumia kisenti cha kujikimu angalau.
Tatizo waalimu wameweka huo ukiritimba wanafanya biashara "eti mwambie atume kwangu"ukituma mpk afikishe pesa kwa mwanao utajuta.
Ndo mana wanazuia simu shuleni
 
Njia rahis ni kuziruhusu simu alafu wawabane kwenye accademic, unaweka vigingi vya kuvuka mfano kuanzia la nne mnapandisha avarege form two avareg, na zinawekewa mkazo sana hivo kwa hatua hiyo wazazi wenyewe ndio watakua mstari wa mbele kuzizuia na si walimu tu kama ilivyo sasa. Hii njia ya kuaralisha kitu haramu ili kukikomesha ni nzur sana na huwa ninaipenda. Mfano mdogo uingereza kuna kipind walikua wanywaji wa pombe kiasi kwamba watu walijikita kufungua maduka ya vywaji vikal sana na watu walikua walev sana baadae selikali ikaweka katazo kwa kuongeza ushuru wa vinywaji hivyo sasa nikama walivichochea baadae wakaona isiwe tabu ruhusu watu wanywe wanavotaka atakaye kufa afe mabaa kibao yakaongezeaka mara tano ya awali, wateja wakawa wachache bidhaa nying watu wakaona kumbe vinywaji hamna faida wakaacha. So Tanzania yangu hamna utafiti mnakurupuka matamuko nguvu kuliko maarifa ndomaana hamna kitu kilichosimama. Poor my country.
 
Sorry ingawa nachomekea tu,Tujifunze kwanza kufahamu kuwa kuna tofauti kubwa sana kati ya watoto wa kizungu na wazazi wao na sie watoto wa kiafrika na wazazi wetu!!!

It is a DNA issue!!

So Kumuelimisha mtoto wa kiafrika, haswa huyu wa shule za kata, kuhusu matumizi sahihi ya simu hata computer na akuelewe asilimia 100 ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu!!!

Sisi ngozi nyeusi sio watu wa kueleweshwa ni wa kuamrishwa tu!! Na hii ni suala la kibaolojia, ndivyo tulivyo umbwa!!!
Tatizo LA waafrika ni kujaribu kutumia nguvu kwa kila jambo hta km halihitaji nguvu.

Hilo tatizo ulilolianisha linaweza patiwa ufumbuzi na software maalum ambazo zitazuia mambo yasiotakiwa kwenye simu za watoto.

Wenzetu wa nchi zilizoendelea wana simu maalum za watoto ambazo haziwezi ku access upuuzi wowote utakaoweza kuharibu akili ya mtoto
 
Kwenye joining instructions ya shule zote za serikali imewekwa marufuku ya simu kwa maandishi meusi
Mawasiliano ya simu hufanywa na mzazi kupitia simu ya mwalimu.
Hao watoto waliokutwa na simu walikosea sana na wamewapa shida wazazi wao haswa baada ya kufukuzwa kabisa itabidi wakarafutiwe shule binafsi za kulipia tofauti na za serikali ni 20,000 tu kwa mwaka
Maandishi yote ni meusi hata ya simu yako mkuu chumvi na magadi si poa.
 
Back
Top Bottom