Mr. Kilonzo
Member
- Aug 2, 2015
- 36
- 12
Habari wanajamvi,
Ninapata shida kwenye kujua matumizi ya hilo nano hapo juu "tia fora". Neno hili naamini linatumika kuelezea ufanyikaji wa kitu kupita kiasi/kupiliza. Tatizo langu ni moja hapa, neno hili linatumika katika maana hasi tu ama linaweza kutumika katika mazuri pia.
Mfano:
1. Shule ile wamefeli mpaka wametia fora.
2. Katika watu waliochelewa nyie mmetia fora.
Naomba msaada je ninaweza kutumia neno 'tia fora' kusifia? Na mifano yake ikoje.
Nawasilisha
Ninapata shida kwenye kujua matumizi ya hilo nano hapo juu "tia fora". Neno hili naamini linatumika kuelezea ufanyikaji wa kitu kupita kiasi/kupiliza. Tatizo langu ni moja hapa, neno hili linatumika katika maana hasi tu ama linaweza kutumika katika mazuri pia.
Mfano:
1. Shule ile wamefeli mpaka wametia fora.
2. Katika watu waliochelewa nyie mmetia fora.
Naomba msaada je ninaweza kutumia neno 'tia fora' kusifia? Na mifano yake ikoje.
Nawasilisha