Matumizi ya Lowassa yanatisha!

Matumizi ya Lowassa yanatisha!

Ndondobwila

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2015
Posts
562
Reaction score
409
Hodi wanaJF!

Nimetonywa kuwa Lowassa anatumia ndege 3 na helcopter 1 katika mizunguko yake ya kutafuta wadhamini. Anatumia Sh. 6,000,000 kwa saa 1.30 kwa kila chombo!! Kwa leo vyombo hivi vimepaki uwanja wa ndege wa Dodoma vikimsubiri atoke bungeni.

Anasafiri na waandishi wa habari 20. Kila mmoja analipwa Sh. 100,000 kila siku. Kula na kulala ni mbali ya hiki kiasi!!!

Hela zinawasilishwa kwake katika viroba kila siku. Wachangiaji wa hizi ni pamoja na Rostam, Mengi, Azam, n.k. yaani mafisadi karibu wote wako nyuma yake!!

Swali kubwa la kujiuliza ni kwamba kawaahidi nini wote hawa?

Nimeshtuka sana kusikia kuwa Mengi ni mmoja wapo. Kumbe anapojidai kuwatetea wanyonge ni uongo mtupu!! Kaungana na mafisadi kutaka kuifisadi nchi yetu!

Source: Mwandishi wa habari aliye kwenye huo msafara.
 
Hodi wanaJF!

Nimetonywa kuwa Lowassa anatumia ndege 3 na helcopter 1 katika mizunguko yake ya kutafuta wadhamini. Anatumia Sh. 6,000,000 kwa saa 1.30 kwa kila chombo!! Kwa leo vyombo hivi vimepaki uwanja wa ndege wa Dodoma vikimsubiri atoke bungeni.

Anasafiri na waandishi wa habari 20. Kila mmoja analipwa Sh. 100,000 kila siku. Kula na kulala ni mbali ya hiki kiasi!!!

Hela zinawasilishwa kwake katika viroba kila siku. Wachangiaji wa hizi ni pamoja na Rostam, Mengi, Azam, n.k. yaani mafisadi karibu wote wako nyuma yake!!

Swali kubwa la kujiuliza ni kwamba kawaahidi nini wote hawa???

Nimeshtuka sana kusikia kuwa Mengi ni mmoja wapo. Kumbe anapojidai kuwatetea wanyonge ni uongo mtupu!! Kaungana na mafisadi kutaka kuifisadi nchi yetu!!!

Source: Mwandishi wa habari aliye kwenye huo msafara.

Tafadhali Mods msiungamnishe post hii na nyinginezo, iko tofauti


Lowassa naona amefanya watu hawalali tena,kila siku lowassa lowassa
 
Ufahamu mdogo kielimu ndilo jambo lililofanikiwa sana TZ baada ya CCM YA MWALIMU NYERERE
 
Watu wa nchi hii wangekuwa wanafisadi mafisadi kwa kukubali kupokea(vijizawadi) lakini wanagoma kutoa(kura), tungekuwa mbali sana!!
 
Wewe kama humtaki lowasa unahangaika na nin? si usubiri uchaguzi uje kupiga kura unakotaka? acha ushabiki maandazi wewe...coz umesikia kila mtu lowasa ndo hata wewe uone una uhuru wa kuropoka
 
sidhani kama Azam yupo katika hili, labda hao wengine

we kumbe ndio hujuwi.wako matajiri wakubwa watano ambao wamejipanga jamaa anaingia ikulu.akiwemo bakhresa.wanataka jamaa akiingia kuanzia gesi na kila kitu vinakuwa chini yao.wewe huoni urafiki wa Mengi na Rostam sasa hivi ulivyokolea? Ni kwa sababu wapo timu moja.mzee Mengi mnafiki sana.anajifanya ana uchungu na watanzania lakini mlango wa nyuma anawazunguka na kuwauza.
 
we kumbe ndio hujuwi.wako matajiri wakubwa watano ambao wamejipanga jamaa anaingia ikulu.akiwemo bakhresa.wanataka jamaa akiingia kuanzia gesi na kila kitu vinakuwa chini yao.wewe huoni urafiki wa Mengi na Rostam sasa hivi ulivyokolea? Ni kwa sababu wapo timu moja.mzee Mengi mnafiki sana.anajifanya ana uchungu na watanzania lakini mlango wa nyuma anawazunguka na kuwauza.

Mengi ukiona kaingia kwenye ishu ni kama mafisadi wengine tu, huwa anaingia kwenye jambo lenye masrahi kwake basi. Hizo zingine ni lugha tu na zuga za kuwapoteza walalahoi msimshutukie
 
Lowassa naona anawawasha makalio....kila siku ni yumo midomoni mwenu...hadi hamfanyi kazi za kujiingizia kipato na mnakuwa hasara kwa Taifa na kubakia kulitegemea Taifa badala ya Taifa kuwategemea ninyi.

Ungekuwa na wewe huwashwi makalio ungekaa kimya. Ila kwa kuwa nawe ni miongon mwa wanaowashwa, tena umeota na maupele, ni wewe!
 
"Politics is the gentle art of getting votes from the poor and campaign funds from the rich while promising to protect each from the other" Jimmy Morrison.

Anyway sidhani kama Bakhresa ana muda wa kupiga siasa kama Mengi.
 
Tukajiandikishe basi ili tutumie kura zetu kumchagua tumpendaye, kama tunaendelea kupiga kelele bila kuwa na shahada za kupiga kura ujue hatutaweza kumchague tunaye mpenda.
 
Hodi wanaJF!

Nimetonywa kuwa Lowassa anatumia ndege 3 na helcopter 1 katika mizunguko yake ya kutafuta wadhamini. Anatumia Sh. 6,000,000 kwa saa 1.30 kwa kila chombo!! Kwa leo vyombo hivi vimepaki uwanja wa ndege wa Dodoma vikimsubiri atoke bungeni.

Anasafiri na waandishi wa habari 20. Kila mmoja analipwa Sh. 100,000 kila siku. Kula na kulala ni mbali ya hiki kiasi!!!

Hela zinawasilishwa kwake katika viroba kila siku. Wachangiaji wa hizi ni pamoja na Rostam, Mengi, Azam, n.k. yaani mafisadi karibu wote wako nyuma yake!!

Swali kubwa la kujiuliza ni kwamba kawaahidi nini wote hawa?

Nimeshtuka sana kusikia kuwa Mengi ni mmoja wapo. Kumbe anapojidai kuwatetea wanyonge ni uongo mtupu!! Kaungana na mafisadi kutaka kuifisadi nchi yetu!

Source: Mwandishi wa habari aliye kwenye huo msafara.

ACHA MAJUNGU KIJANA UTAZEEKA KABLA YA WAKATI NDUGU!
mh. lowassa anatumia ndg moja tu na waandishi WAWILI TU.

****HAISE WATU WANATOA WAPI UONGO HUU****
 
Ofa ofa ofa
Ofa ofa ofa
Ofa ofa ofa
Msimu huu wa ramadhani kuelekea sikuu ya IDD pata gari Kali kwa ajili ya tour, kama Bagamoyo, Tanga, Pangani, Mikumi n.k Fanya booking mapema....... Contacts: 0712999090/0763999090
 
Hodi wanaJF!

Nimetonywa kuwa Lowassa anatumia ndege 3 na helcopter 1 katika mizunguko yake ya kutafuta wadhamini. Anatumia Sh. 6,000,000 kwa saa 1.30 kwa kila chombo!! Kwa leo vyombo hivi vimepaki uwanja wa ndege wa Dodoma vikimsubiri atoke bungeni.

Anasafiri na waandishi wa habari 20. Kila mmoja analipwa Sh. 100,000 kila siku. Kula na kulala ni mbali ya hiki kiasi!!!

Hela zinawasilishwa kwake katika viroba kila siku. Wachangiaji wa hizi ni pamoja na Rostam, Mengi, Azam, n.k. yaani mafisadi karibu wote wako nyuma yake!!

Swali kubwa la kujiuliza ni kwamba kawaahidi nini wote hawa?

Nimeshtuka sana kusikia kuwa Mengi ni mmoja wapo. Kumbe anapojidai kuwatetea wanyonge ni uongo mtupu!! Kaungana na mafisadi kutaka kuifisadi nchi yetu!

Source: Mwandishi wa habari aliye kwenye huo msafara.


Tatizo ni fikra za kimaskini. Hizo ni rumours tuu kwani hazina evidence. But be it true as it is, tatizo liko wapi? Ebu fanya tafiti,tuambie presidential campaigns za hata hapo jirani zetu Kenya ni kiasi gani.

Raila Odinga in 2013 alitumia $85 million. Uhuru Kenya almost twice as that.

Lazima ujue sasa hivi campaigns ziko tofauti sana kutokana na jamii kubadilika.

Angalia campaigns za Hilary Clinton zivyotumia hela nyingi. Rwanda hapo Kagame ametumia hela nyingi kwenye the last general elections.

Wake up and be sober!!
 
Hodi wanaJF!

Nimetonywa kuwa Lowassa anatumia ndege 3 na helcopter 1 katika mizunguko yake ya kutafuta wadhamini. Anatumia Sh. 6,000,000 kwa saa 1.30 kwa kila chombo!! Kwa leo vyombo hivi vimepaki uwanja wa ndege wa Dodoma vikimsubiri atoke bungeni.

Anasafiri na waandishi wa habari 20. Kila mmoja analipwa Sh. 100,000 kila siku. Kula na kulala ni mbali ya hiki kiasi!!!

Hela zinawasilishwa kwake katika viroba kila siku. Wachangiaji wa hizi ni pamoja na Rostam, Mengi, Azam, n.k. yaani mafisadi karibu wote wako nyuma yake!!

Swali kubwa la kujiuliza ni kwamba kawaahidi nini wote hawa?

Nimeshtuka sana kusikia kuwa Mengi ni mmoja wapo. Kumbe anapojidai kuwatetea wanyonge ni uongo mtupu!! Kaungana na mafisadi kutaka kuifisadi nchi yetu!

Source: Mwandishi wa habari aliye kwenye huo msafara.

Katika maisha yangu yote huwa sipendi kuishi katika jamii ya kuamini kwa kuhisi tu, haya mambo yanahitaji uthibitisho tena wa kila, nadhani jambo la msingi ni kumtaja huyo mwandishi ili ajulikane na kukaa na kutengeneza stori ili kuwaaminisha Watanzania uongo,

Tuache kupika stori kwa kutaka kuwachafua watu, na hili ni kosa, kumzushia mtu uongo
 
Back
Top Bottom