Mtu atapata ukimwi ikiwa aliye mzima ataingiwa na maji maji/ damu kutoka kwa mwathirika, mfani kuongezewa damu ya mwathirika au kufanya mapenzi na mwathirika.
Kondomu inazuia hata ukimwi kwakua itazuia contacts za maji maji kati ya mtu A na mtu B, hii ni nadharia nzuri ambayo itafanya kazi ipasavyo ikiwa mtu utatumia kondomu ambayo kuanzia ulipoinunua, unapoitoa kwenye pakti, unaivaa, na kuitumia utafuata taratibu zote.
Kwa kuelewa kuwa si mara zote mtu ataweza kufuata hizi taratibu ipasavyo hivyo umadhubuti utapungua ndiyo maana hawajasema itakuzuia kwa asilimia mia, ili hata na wao wawe na cha kusimamia ukiwapeleka mahakamani.