Matumizi ya hizi mbolea

issakwisssa

Member
Dec 13, 2016
66
123
Habarini wana jf
Kwanza kabisa ni mshukuru mungu kwa mambo mengi anayotujalia na kutulinda na mambaya
Wandugu naombeni mwenye ufahamu wa matumizi ya hizi mbolea anielekeze
Akizingatia sana nalima matikiti
Mbolea ya kwanza ni Npk
Na nyengine ni yulea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom