issakwisssa
Member
- Dec 13, 2016
- 66
- 123
Habarini wana jf
Kwanza kabisa ni mshukuru mungu kwa mambo mengi anayotujalia na kutulinda na mambaya
Wandugu naombeni mwenye ufahamu wa matumizi ya hizi mbolea anielekeze
Akizingatia sana nalima matikiti
Mbolea ya kwanza ni Npk
Na nyengine ni yulea
Kwanza kabisa ni mshukuru mungu kwa mambo mengi anayotujalia na kutulinda na mambaya
Wandugu naombeni mwenye ufahamu wa matumizi ya hizi mbolea anielekeze
Akizingatia sana nalima matikiti
Mbolea ya kwanza ni Npk
Na nyengine ni yulea