Matumizi ya elfu kumi yangu leo

Matumizi ya elfu kumi yangu leo

Kaisari

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2012
Posts
3,636
Reaction score
3,045
Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.

Nitatoboa kweli???
 
Haha...hahaha

Chai ulitakiwa unywe 1000.
Nauli 1000
Mchana 2000
Maji bombani
Bando jiunge la chuo 1500 kwa wiki
Jumla 5500 unabaki na 4500 ukijumlisha na 1500 za bando za week nzima utakuwa na zaidi ya 5000 ukiwa bado haujala usiku.
 
Haha...hahaha

Chai ulitakiwa unywe 1000.
Nauli 1000
Mchana 2000
Maji 600
Bando jiunge la chuo 1500 kwa wiki
Jumla 6100 unabaki na 3900 ukijumlisha na 1500 za bando za week nzima utakuwa na zaidi ya 4000 ukiwa bado haujala usiku.
Haelewi inabidi ajifunze,
 
Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.

Nitatoboa kweli???
Uko mjini ulienda kula au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom