Matumizi ya condoms

Matumizi ya condoms

Mbangubangu

Senior Member
Joined
May 6, 2013
Posts
188
Reaction score
70
Kwa kweli kuna swala linaumiza kichwa sana nimejaribu kuuliza baadhi ya watu,wanaume na wanawake na ningependa tujadili na hapa.

Kwa sasa watu wengi hawapendi kutumia condoms katika mapenzi je ni kuaminiana kupita kiasi au ni vipimo vya macho.
Unakuta watu wanakutana mara ya kwanza wanaanza kutumia condom bao la kwanza tu yanayofuata huko mbele ni kavu.

Sio mwanamke sio mwanaume ambaye atakemea hili hasa wakiwa wamelewa ndio kabisa.Je ni kujichokea kwa maisha hivyo mtu kujitoa muhanga au ni utamu tu.

Nini kinamfanya mtu kumwamini mwenzake kwa haraka hivyo. Au watu walio ndani ya ndoa wanaaminika sana.
Vipi wale wasio ndani ya ndoa na wanaanza mapenzi kwa gia za kuona.
 
Nachokishuhudia hapa kwenye mwandiko wako nikwamba na ww upo kwenye ndoa na zaidi umekua ukichepuka mara kadhaa lakini kote ulikopita uliaminiwa na ukapewa kavu kwa roho nyeupeee bila hata swali kwikwi wala chafya sa moyoni ndo ukawa unajiuliza haya uloleta hapa!

Hata hivyo jibu mimi sina ila ww mchepukaji unalo mwenyewe unachotakiwa ni kuliamini jibu lako na kujipanga upya kama unahisi ulikosea, neno langu moja tu mkuu, uzinzi ni hatari kiafya na dhambi kwa muumba wako.
 
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbele ya tamaa akili huwa mtumwa...
 
Mi nafikiri hii inatokana na kupungua zaidi kwa maradhi ya ukimwi hivyo kupelekea wahusika kuaminiana na kuto'ona umuhim wa kutumia condom
 
Swala la kutumia kondom limekua gumu kwa watu wengine kwa Mara kwanza kwani wadada wenyewe hawa tabiriki unaweza kujiandaa na kondom zako kumbe mwenzio hana mpango wa kugegedana.

Anaweza kuja siku ambayo hukutegemea na akataka mchezo na kwa bahati mbaya siku hiyo huna kondom, unaamua upige kavu kwani ukimuachia anaweza asirudi tena. Ila unapokutana na baamedi au changudoa ni uzembe wa wahusika kutotumia kondom.
 
Mimi nina falsafa yangu moja! Kila demu ninaye kutana nae naamini ana ngoma, kwahiyo nachukua tahadhari mapema!
 
kukumega.

Mkuu inabidi uwe na stock ndani...
 
Last edited by a moderator:
Napata shida kuelewa mada yako ulijifanyia utafiti mwenyewe ukaona hutumii condom na unaohusiana nao? Wafanyao mambo hayo huwa sirini wasionwe na watu wengine, iweje ujue yanayojilia huko sirini kama si unajisema mwenyewe unayefanya hivyo? Pengine labda ungetuambia umefanya utafiti kwa kuuliza wanaofanya hivyo lakini hujatueleza kama mada yako imetokana na utafiti au la.

Hata hivyo hoja yako ni muhimu kukumbusha umma kwamba ukimwi unaendelea kupoteza maisha ya wengi, na baadhi wanaonekana kuwa na siha tu kwa vile madawa ya kurutubisha yanasaidia kuhimili kishindo chake kwa muda, na endapo magonjwa nyemelezi yakimwandama haitachukua muda kumrudisha kuwa udongo aliotokana nao.
 
kwakweli ndom ziboreshwe tuzitumie make ni sheeda, kwa sasa zinaumiza na zinakauka mafuta haraka kwa kifupi zinakata stim

maoni adhimu kama haya yalipaswa kuwepo kwenye nayopendekezwa aisee!kwanini hamkuyaweka sasa da mzuri?
 
maoni adhimu kama haya yalipaswa kuwepo kwenye nayopendekezwa aisee!kwanini hamkuyaweka sasa da mzuri?

tunatakiwa kupeleka wapi maoni???
hata size wakonside pia kwann ndom ni free size wakati dushe sio free size? ndom zinakuwa vimini, vitight ni kero
 
tunatakiwa kupeleka wapi maoni???
hata size wakonside pia kwann ndom ni free size wakati dushe sio free size? ndom zinakuwa vimini, vitight ni kero

zina tight kukokngeza mizuka mama.....na inakua free size ili itoshee kwa dushe zote ndogo na kubwa..ila nimesikia sana habari ya wadada kuchubuliwa sijui,mara wengine harufu inawakata stimu na mapicha picha mengine kibao....watengenezaji wasikie kilio hiki ili tufaidi wote jameni!!
 
Back
Top Bottom