Matumizi ya condom yamenishinda kabisa

Matumizi ya condom yamenishinda kabisa

Atayekushauri, akifa, ataenda motoni
 
Umeongea jambo la mbolea sana.....Kampime kisha kaa miezi mitatu umpime tena kisha halalisha kama small house ili uwe unajipigia DRY/KUUZA MECHI/KUJIVIKA MABOVU/KUJITOA MUHANGA/KUJILIPUA

Dah... mkuu sasa mbona umeanza ushauri wako vizuri ila unamalizia na hayo maneno yasiyotia faraja ya herufi kubwa...?
 
Jitafutie wa kwako wanne watakutosha. Usipende kutukaruka wakati room ipo ya hadi wanne.
 
Dry chama
Yango Na Yango
Etutana
Mzee wa mbichi
Mzee wa kuloeka
Mzee wa nyama Kwa nyama
 
acha unafiki hakuna aliye msafi kwenye hii kitu
Unajua mara nyingi watu tunachukulia ushauri tofauti sana. Wewe umekuja hapa kutangaza kwamba umeamua kuwa mzinzi, mtu kukushauri uache uzinzi haina maana yeye ni malaika kwa sababu kujua jema na baya haitegemei usafi wa mtu. Hata majambazi wanajua wanachofanya sio sawa na inawezekana kabisa ukimwambia jambazi kwamba una mpango was kuwa jambazi, unaweza kushangaa akakushauri uachane na huo mpango.

Mtu anaweza kukushauri uache uzinzi kwa sababu labda yeye kafanya na kaona kuna hasara zake ni kubwa Sana.

BAKI NJIA KUU
 
Dah... mkuu sasa mbona umeanza ushauri wako vizuri ila unamalizia na hayo maneno yasiyotia faraja ya herufi kubwa...?
Hayo maneno yanamaanisha kula mzigo bila ndomu ukiachilia HIV kuna Mimba isiyotarajiwa,Hepatitis B,Gono,Kaswende,UTI and other STD unaweza/anaweza kupata endapo AKIUZA MECHI.
 
Back
Top Bottom