kadovela
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 471
- 679
Inasemekana matumizi sahihi ya condom yanapunguza uwezekano wa maambukizi ya UKIMWI. Hoja yangu inajikita zaidi kwenye matumizi ya condom yanavyoweza kuathiri baadhi ya watu wakati wa kujamiana na kupelekea kuwa katika hatari mara dufu ya kupata maambukizi ya HIV.
Wapo baadhi ya wanaume wakivaa condom inapelekea kuchelewa sana kupiga bao, kitu kinachosababisha kubadili condom mara kwa mara kwani huwa baada ya muda mafuta hukauka, pia inaweza pelekea lawama kutoka kwa mwenzi wake kwamba anachelewa sana.
Kinachoweza tokea mwingine anaweza amua kwenda kavukavu katika wakati ambao uke nao pia umekauka kwahiyo hatari ya kuwa na michubuko inakuwa kubwa kiasi cha kuweza kuambukizana HIV.
SULUHISHO: Kwanza ili tatizo si kwa wanaume wote ila kwa wenye ili tatizo ni vema kujua afya yako na mwenzio na muwe na uaminifu, pili muandae mwenzio vyema ili asiwe mkavu sana, kwa suala la mimba ni vyema kuzifahamu siku za hatari japo zaweza badilika kinyume na hapo hakikisha hauachi condom hata kama inakukera wewe na mwenzi.
Wapo baadhi ya wanaume wakivaa condom inapelekea kuchelewa sana kupiga bao, kitu kinachosababisha kubadili condom mara kwa mara kwani huwa baada ya muda mafuta hukauka, pia inaweza pelekea lawama kutoka kwa mwenzi wake kwamba anachelewa sana.
Kinachoweza tokea mwingine anaweza amua kwenda kavukavu katika wakati ambao uke nao pia umekauka kwahiyo hatari ya kuwa na michubuko inakuwa kubwa kiasi cha kuweza kuambukizana HIV.
SULUHISHO: Kwanza ili tatizo si kwa wanaume wote ila kwa wenye ili tatizo ni vema kujua afya yako na mwenzio na muwe na uaminifu, pili muandae mwenzio vyema ili asiwe mkavu sana, kwa suala la mimba ni vyema kuzifahamu siku za hatari japo zaweza badilika kinyume na hapo hakikisha hauachi condom hata kama inakukera wewe na mwenzi.