Matumizi sahihi ya Home theatre Nyumbani

Asant kwa elimu
 
duuuh niliona mwisho ni 11.2. Kumbe kuna 13.2


The Denon Flagship AVR-X8500H powers the next generation of home theater with the world’s first 13.2 channel receiver that supports the latest immersive audio formats, including IMAX Enhanced, Dolby Atmos, DTS:X and unparalleled music playback options, thanks to our built-in HEOS technology, Apple AirPlay 2, and Amazon Alexa voice compatibility for seamless control.
 
dola ngapi hii huko amazon
 
Vp elimu ya mpangilio wa music system ndani?? Tunaisubiri pia mkuu..

Pia wengi wanasema hii home theater ni soround na ukiipangilia vizuri speakers unapata music mzuri..

Tupe ufafanuzi.
Mfano vile vitoto vya spika unavihang kwenye angle za sebure yako juu kweny kona zote nne, halafu saaa baba lao unaweka chini kweny kona, na ili ikite zaidi usiweke ndani ya ile case ya tv, weka kweny sakafu, chini itangulie kikapeti ya manyoya... Baba ndani utapapenda
 
Karibu sana.
Maoni yako ni muhimu.
Tupo hapa kuelimishana and as an avid sound system enthusiat ningependa kujifunza toka kwako.
Mleta mada ameeleza vizuri sana matumizi ya hi-fi na home theaters.
Uko sahihi linapokuja suala la kuchagua aina ya gani za sound sysem ya kuweka nyumbani.
Kuna wenye kufanya hivyo kutokana na vigezo mbalimbali kama:
-budget (atanunua kutokana na uwezo wake. Kuna mwengine uwezo wake ni laki 4, while mwengine ana uwezo wa kununua MacKintosh ya milioni 30)
-brand loyalty (mfano nina ndugu yangu yeye piga ua humwambii kitu na Pioneer brand. Kuna rafiki yangu piga ua yeye ni BOSE)
-quality (hapa ndio mimi. Niko radhi nisubiri na ni-save kwa kile ninachokiona kina sound quality nzuri)
-Bass (haijalishi brand ilimradi anapata bass la kufa mtu na majirani tunakoma)
-- Bora liende: it doesn't matter
etc etc. etc.

Binafsi mimi kigezo changu ni quality sababu napenda sana kusikiliza music kwa hiyo I care much about Hi-fi kuliko home theater! Hivyo basi haina maana watu wote waniiige. Kila mtu ana uhuru na sababu zake za kununua kile akipendacho
Nikipata muda huwa nafanya research online especially www.cnet.com, then naenda stores kama Best Buy ambapo naingia department ya electronics na ku-test vile ambavyo naona vimepewa quality ratings nzuri. Nikiridhika naagiza Amazon.com
Mfano: Kuna speakers zinaitwa DEFINITIVE TECHNOLOGY nimeona zina ratings nzuri sana kwenye upande wa sound quality (Hi-fi) music oriented na si home theater
Kuzipata Tanzania ni ngumu lakini ukishuka Nairobi ama S. Africa zinapatikana ama kama una uwezo unaweza kuagiza via Amazon.com
 
Kuna mnyama anaitwa Technics alikuwepo home miaka ya 2000 huko, ni hatari kwa Hi-Fi. umeme wa dowans na richmond ulituulia mnyama wetu mpaka leo sijawahi ona madukani bongo. Yaani kila mziki unaona mzuri tu hadi bolingo dadek.
 
Umeongea bonge moja ya point mkuu. Ila the most important thing hapo nimeona kwa wengi wetu budget ni kikwazo kikubwa sana aisee. Mathalani mtu umwambie achukue HiFi ya 800k au HT ya the same price lazima akuone wewe mwanga. Mwisho wa siku anaamua kuchukua zake Lige au Aborder subwoofer, ignoring the taste and sound quality of a quality entertainment unit (HT au HiFi). Mie binafsi ni mhanga wa budget ila najitahidi kujipanga nipate satisfaction.
Nilikuwa nina Home Theatre ya Samsung HT-F456 ila sikuridhika na sound qulity yake, nikauza na kufanya upgrade ya Sony BDV E3200. It has reasonable sound quality and features
 
Asante sana wewe pamoja na wadau wengine kwakuwa chachu ya uzi huu. Sasa naona watu wanaopenda Muziki systems.

Kwakweli wengi wetu hatupati radha ya muziki halisi kama ulivonyongwa studio ni vile hatujui tu.

Ni sawa na Movies unaangalia kwenye chogo TB au flat ya mchina unahs umeona movie kila kitu kumbe kuna TV zinakupa radha ya picha halisi kama walivokusudia Hollywood.
 
Wazo zuri lakini pia changamoto ya nchi zetu hizi nikipato duni. Na sysytem za muziki ni gharama sana
 
Very true my friend.
 
klipsch hawa.

Hawa jamaa kuunda speaker wako vizuri sana.
klipsch ni hatari sana. ni very expensive but ukifanikiwa kupata hizo speakers particularly RP280F or RP280FA with dolby atmos , RP450C na hizo woofers atleast dual effect SW115. aiseee utafurahi sana. Na receiver Ku support Dolby Dts X kama hizo Denon Yahama hata Onkyo. Sasa usually ukiweza Kuweka from 7.2 ch hiyo ni superb. Sasa unaweza ukaamua receiver ikabaki kuwa pre amp tu. Halafu ukatafuta Amplifiers zingine kwa ajili ya ku power your 7 cones. Na nyingine ya ku power your subs( Though Klipsch sw115 ni powered.) Usually Emotiva is my best brand.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…