Niliongea na Wakili mmoja kumueleza kuwa majina ya vyeti vyangu vya shule ni mawili ila kwenye Nida yapo matatu pamoja na cheti cha kuzaliwa
Akaniambia kuwa natakiwa kuwa deedpol ambayo wakili yeye ndiye anai draft Kisha inaenda kusajiliwa wizarani kwa gharama ya 32000.
Naona umefanana katika maelekezo yake