Matukio yaliyorekodiwa na Camera ya Tecno Phantom 6

Matukio yaliyorekodiwa na Camera ya Tecno Phantom 6

sasa mbona hatuyaoni hayo matukio,ndio maana mnawapa ant-tecnos cha kuongea,mpo kienyeji enyeji sana,badilikeni,ndoroboooo nyie
 
Wakuu mmeangalia hii video?


hizo video umejiwekea uangalie mwenyewe au,huoni hakuna hata mtu mmoja anayekuambia kuwa ameziona,ngoja tecno haters waje wapate cha kuongea,yaani official page ya tecno mnashindwa ku-upload video,mnatupa vilink uchwara tu,hamuoni kama mnaishushia heshima kampuni yenu?
 
Tecno haina hadhi ya kutangazwa Hapa ikiwa tu kuapload video mmeshindwa mnatafuta nini hapa
 
hizo video umejiwekea uangalie mwenyewe au,huoni hakuna hata mtu mmoja anayekuambia kuwa ameziona,ngoja tecno haters waje wapate cha kuongea,yaani official page ya tecno mnashindwa ku-upload video,mnatupa vilink uchwara tu,hamuoni kama mnaishushia heshima kampuni yenu?
Tecno wanavituko nao eti wanajitangaza sasa hata video aploading hawawezi hawa ndorobo kweli kweli
 
hizo video umejiwekea uangalie mwenyewe au,huoni hakuna hata mtu mmoja anayekuambia kuwa ameziona,ngoja tecno haters waje wapate cha kuongea,yaani official page ya tecno mnashindwa ku-upload video,mnatupa vilink uchwara tu,hamuoni kama mnaishushia heshima kampuni yenu?
Tecno haina hadhi ya kutangazwa Hapa ikiwa tu kuapload video mmeshindwa mnatafuta nini hapa
Tecno wanavituko nao eti wanajitangaza sasa hata video aploading hawawezi hawa ndorobo kweli kweli
Nyie kweli tecno

Hebu angalia kwnza had tuambie
Aina ya Tecno hata nikiiiokota naitupa

Wakuu hivi ndivyo video inavyoonekana, file ni kubwa inagoma kupanda moja kwa moja ndio maana tumeweka link preview ambayo ukipress play video inacheza.

upload_2016-10-15_19-18-44.png
upload_2016-10-15_19-18-44.png
 
Back
Top Bottom