Matukio yaliyokiki 2017 kwa Ufupi

Matukio yaliyokiki 2017 kwa Ufupi

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,560
Yaliyojiri 2017

January-Chuma Kinachaji Betri

February
Mapenzi Mubasharaaaaa
List ya wauza unga✍

March
Bashite
Nape OUT

April
Naliamsha Dude
Roma ametekwa na kupatikana akiwa salama. Hajafanywa chochote

May-Kibiti

June-Makinikia

July
William arudisha mamilioni ya ESCROW
Mara paaap vichwa 13 vya Treni havina mwenyewe

August
Utatoa hutoi?
Sikumbuki lakini vimekaza!

September
Tundu Lee Sue
Diamond & Hamisa….Zilipendwa

October
Dogo Janja afanya maujanja
900 itapendeza

November-Lulu…miaka miwili itapendeza⚖

December
Expansion Joint
Seya tutoke wotee
Wekeni Grisi

2018...... utajaza

KIKI IPI ILIKUVUTIA ZAIDI?!

 
Nitakutana, nitasalimiana na kuongea na Mh. Magufuli 😀😀😀
Raisi ambaye anafurahisha kwa utendaji wake.. na haijawahi kutokea nchini.
 
Feb 14 2018 Monney penny uso kwa uso na Rais Wa Urusi.



October..
Sijaja kutafuta wachumba..

Una uhakika Roma hajafanywa chochote ?



Nitakutana, nitasalimiana na kuongea na Mh. Magufuli 😀😀😀
Raisi ambaye anafurahisha kwa utendaji wake.. na haijawahi kutokea nchini.

Mje na huku SWALI: KOSA LANGU NI NINI SASA?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom