Hii obsession uliyokua nayo kwa EL itakufanya uchizikeKuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?
Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!
Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?
Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!
Na leo Raisi magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!
IPP media ndo wanampa promo kwenye front page za vyombo vyao vya habari hasa NIPASHE NEWSKuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?
Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!
Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?
Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!
Na leo Raisi magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!
Kama aliweza kuporwa ushindi hata nchi angeporwaUmeshasahau kuwa tulimchagua mkapora ushindi wake?
Ichore tuione hiyo graphKazi ipo!!! Graph ya mwenzie inapanda kwa kasi ya Kwake inaendelea kuporomoka. Hivi sababu za kutoka CCM ataziongea kila siku??? Kama anataka kurudi arudi tu. CCM ni nyumbani Mzee wangu. Hata mwana mpotevu aliporudi alifanyiwa bonge la pati.
Queen Esther
WEWE BADO UTAKUA UNAONGOZWA NA ITFAKI ZA KIHAFIDHINA NDO MAANA HUJUI KUA BINADAMU TULIUMBWA KATIK HALI YA KUBADILIKABADILIKA, HAKUNA MKAMILIFU NA NDO MAANA KUKAWA NA KITUBIO KWA WAAMINIO. SASA KAMA LEMA NA LOWASSA WALISHAYAMALIZA YAO NAWE BADO UNASHADADIA HUU UPUUZI WA KALE. WAO HAWAKO TENA NA WANENDELAZA HILI GURUDUMU KWA MAENDELEO YA TAUFA KWA SASA.Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa ~~ Lema
Kuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?
Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!
Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?
Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!
Na leo Raisi magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!
Haya Lowasa alishinda , kwa wabunge wangapi mlionao.??
Hivi ukawa wabunge 76 ccm 281 . sasa huyu lowasa angeongoza vipi nchi??
Kwa upumbavu walionao Nyumbu hata hili hawalioni
Unasema "bora a - relax asibiri 2020", kwa nini?
Umesahau kwamba mwisho wa uchaguzi huu ndiyo mwanzo wa harakati za uchaguzi unaofuata eeh??
Acha bwana, kama wewe ulimchagua Magufuli, sisi wengine tulimchagua Lowassa na ndiye Rais wetu iwe mvua au jua na tunafurahi sana tunapomuona ktk harakati za maandalizi ya uchaguzi wa 2020.
Nikuulize swali hili maana umemwita mara nyingi sana ktk bandiko lako kama "fisadi Lowassa";
Hivi mahakama ya mafisadi imeshaanzishwa tayari? Lini huyu unayemwita "fisadi Lowassa" atapelekwa ktk mahakama hiyo ili kujibu mashtaka ya ufisadi ambao binafsi sielewi ni upi??
CHADEMA na Lowasa ni maidiots ndiyo maana wanaamini mambo ambayo hayay
Hilo swali ningekuomba ulielekeze kwa Lema, Kubenea, Lisu, Slaa, Mbowe & Co.
Duuh,Barbarosa unafanya propaganda za kisiasa cheap and very outdated sana mkuu!
Mahakama ya mafisadi si ni ya Magufuli bwana sio ya hawa uliowataja hapo, au umesahau??
Au hizi ni kelele tu zisizoweza zuia chura kulala??
Lowassa ni sawa na mfa maji haachi kutapatapa urais atausikia TBC, Watanzania hatutaki mafisadi wala wana mtandao, hapa ni kazi tuKuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?
Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!
Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?
Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!
Na leo Raisi magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!
Ni wavutabange wa Tengeru pekee ndo walimchaguaUmeshasahau kuwa tulimchagua mkapora ushindi wake?
Pole, naona siku yako imeanza vibaya leo. Anyway, kwa kuwa ukimtaja Lowassa unapata relief, endelea tu.Kuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?
Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!
Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?
Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!
Na leo Raisi magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!