Matukio ya kuogofya ya kisiasa!

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Feb 26, 2013
2,326
1,314
Tz sijui hatuna wachambuzi wa masuala ya kisiasa? sijui vyombo vya habari vya hapa tz havijitambui? sijui hawaendi na wakati? sijui waandishi wetu wa habari hawajitambui? ni ngumu kuelewa kwa kweli!

Kwa kipindi km hiki ambapo kuna matukio ya kisiasa ya kuogofya ilibidi vyombo vya habari hususan tv vijielekeze kule kwa nguvu, waandishi wa habari wapige scoup za ukweli, mijadala motomoto zingekuwa zinaendelea kwenye tv lakini wanatoa habari km clip tu then wanasepa wanasubiri hadi siku ziiendee weeeee ndio waanze kufanya mijadala!

matukio ya mtwara! afya ya mandela! matukio ya arusha! na mambo mengine ya kidunia!

tv sasa hv habari zao ni outdated maana tunakimbilia kwenye mitandao kupata updates breaking news, tv zipo hoiiiiii zipo very legelege, they are not sharp kuhabarisha! ZINDUKENI MMELALA SANA!

Angalia sasa hv asubuhi mijadala ya kwenye tv, wanahabarisha mambo ambayo ni low rated kwenye tasnia ya kuhabarisha! be sharp you guys give people what they need to hear at the time, sio kuhabarisha tu as you scheduled! make yourself expensive you tvs bhana, mmelala sanaaaaaaa!
 
Watu tumetofautiana sio kila mtu anataka mambo ya siasa na kuuana au kugombea.
Mimi ninatumia cable ina channel 80,
Lakini Mke wangu kafungua Emmanuel anakula Neno la Wokovu
HouseGirl wangu kafungua Taarabu anakula mipasho
Toto langu limefungua Super Sport
Mwingine vikatuni
Mimi nipo Jamii Forum mambo ya Kikubwa na pembeni nipo Al-Jazeera sababu BBC yupo Queen Elizabeth kapanda farasi
kwa hiyo kuniambia Station za TV ziniwekee Gesi Mtwara au mabomu ya Arusha Oalasit au Uchaguzi unatukosea
Mtu unalipia kitu ukitakacho ingewezekana kabisa matukio ya mauaji wakawekewa kuanzia usiku watoto wakilala basi
 
Taarifa zilidai kuwa kuna mtu alionekana akirusha kitu kinachodaiwa bomu kwenye eneo la jukwaa karibu na gari la matangazo la chama hicho, lakini alipokuwa akifuatiliwa baada ya kutokea mlipuko huo, polisi nao walikuwa wameanza kudhibiti watu kwa kulipua mabomu ya kutoa machozi na kupiga risasi za moto hali iliyozidisha taharuki.
 
Watu tumetofautiana sio kila mtu anataka mambo ya siasa na kuuana au kugombea.
Mimi ninatumia cable ina channel 80,
Lakini Mke wangu kafungua Emmanuel anakula Neno la Wokovu
HouseGirl wangu kafungua Taarabu anakula mipasho
Toto langu limefungua Super Sport
Mwingine vikatuni
Mimi nipo Jamii Forum mambo ya Kikubwa na pembeni nipo Al-Jazeera sababu BBC yupo Queen Elizabeth kapanda farasi
kwa hiyo kuniambia Station za TV ziniwekee Gesi Mtwara au mabomu ya Arusha Oalasit au Uchaguzi unatukosea
Mtu unalipia kitu ukitakacho ingewezekana kabisa matukio ya mauaji wakawekewa kuanzia usiku watoto wakilala basi

Acha kujishaua, huko BBC na Al Jazeera kutwa nzima wanaonesha mauaji ya Syria, Iraq, Afghan. Tv lazima ziwe na coverage ya matukio hats kama ni mabaya.
Sema hapo Hausgel Wako anakijifunza mipasho ili wakati mkeo akienda kazini unavoenda kumla anakuimbia anyimbo za mfalme
 
Tz sijui hatuna wachambuzi wa masuala ya kisiasa? sijui vyombo vya habari vya hapa tz havijitambui? sijui hawaendi na wakati? sijui waandishi wetu wa habari hawajitambui?
Hayo maswali yote majibu ni ndio.

Hatuna waandishi, tuna waganga njaa, watu wasiofanya kazi kwa weledi bali kuamrishwa na dude moja linaitwa CCM. Nimesikitishwa sana na jinsi tukio la Arusha linavyofichwafichwa, kama si internet tusingejua chochote.

Hii nchi hata uhuru wa kupata habari unaminywa, imagine vijijini ambako hakuna internet, wananchi wanakosa haki ya kupata habari na matukio kama haya.
 
Taarifa zilidai kuwa kuna mtu alionekana akirusha kitu kinachodaiwa bomu kwenye eneo la jukwaa karibu na gari la matangazo la chama hicho, lakini alipokuwa akifuatiliwa baada ya kutokea mlipuko huo, polisi nao walikuwa wameanza kudhibiti watu kwa kulipua mabomu ya kutoa machozi na kupiga risasi za moto hali iliyozidisha taharuki.
So inawezekana polisi walizua taharuki ili jamaa aliyerusha bomu asepe. Hawa polisi inabidi waisaidie polisi.
 
This is culmination of an impotent government by mafioso party; sorry CCM.

Nasisitiza hatutasahau wala kupuuza yote wanayotenda sasa na jinsi damu zisizo n hatia zinavyomwagika......we'll make them pay in full in due course.
 
Hali iliyotokea Arusha ni hali ya dharura kwa taifa letu, ingekuwa ulaya tv na redio zingejielekeza kwenye mijadala mizito! Any way pia waandishi wa habari hawana usalama wa kutosha na wanaogopa kung'olewa kucha na meno bila ganzi!
 
Back
Top Bottom