Usiseme asingeshinda!!
Kama ingekuwa hivyo kwanini tulienda kwenye uchaguzi?? Kwanini hayo mabilioni wasiingeenda kuanzishia miradi badala ya kuwekekeza kwenye kutaka mamlaka ya wananchi??
Kama ni hivyo kwa nini aibiwe kura zake??? Kwa nini umuibie kura mtu ambaye una uhakika wa kumshinda???
Kweli watanzania ni AJABU lingine la DUNIA kwahiyo Wewe na wenzio mnaamini ktk Magufuli...!!!
Ni kweli mashetani pia yana Mkubwa wao mungu wa giza
Wapiga kura zipi mbona mnakua ka mna vinyesi vichwani.!!?
Watanzania gani? Kama ni Watanzania wamepiga hizo kura mnazotangaza kwa nini mnakataza watu wasijumlishe matokeo ya vituoni? Mnaficha nini?
Kwa nini hamtumiii nakala za mawakala zilizosainiwa kwenye majimbo kupata jumla ya kura zilizopigwa badala yake mnatunga za kwenu?
Wengine mtakufa kwa dhambi za ujinga.
Aisee ukienda nami nitafutie dili huko....nataka nihame Bariadi......
Hivi kigoma kaskazini c ndiyo Zitto alikuwa anagombea au yeye yupo CCM siku hizi?
ndugu wanazuoni wenzangu pamoja na makandokando na rafu nyingi kuchezwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu ningependa nijue kila chama nimechukua viti vingapi vya ubunge.
Viti 24Kwani huku bara cuf wamepata wabunge wangapi?
kama ni kweli ccm ni lazima wahenye.Cdm 35, ccm 188, cuf 24, nccr mageuzi 1, act wazalendo 1,
ndugu wanazuoni wenzangu pamoja na makandokando na rafu nyingi kuchezwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu ningependa nijue kila chama nimechukua viti vingapi vya ubunge.
Majimbo ya uchaguzi yako 264 yaliyopigiwa kura
CCM imepata viti 217
UKAWA viti 46
ACT wazalendo kiti 1
Ni kweli mbona kuna majimbo kama sio 5 basi ni 6 hayapiga kura ya ubunge,na kwa hesabu yako 217+46+1= 264?Majimbo ya uchaguzi yako 264 yaliyopigiwa kura
CCM imepata viti 217
UKAWA viti 46
ACT wazalendo kiti 1
Ni kweli mbona kuna majimbo kama sio 5 basi ni 6 hayapiga kura ya ubunge,na kwa hesabu yako 217+46+1= 264?
ni kweli mbona kuna majimbo kama sio 5 basi ni 6 hayapiga kura ya ubunge,na kwa hesabu yako 217+46+1= 264?