Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015


Pigeni kura kwa wingi kazi ya kumtangaza mshindi niachieni mimi!

ENL
 

Ingieni msituni!
 
Ndugu wanazuoni wenzangu pamoja na makandokando na rafu nyingi kuchezwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu ningependa nijue kila chama nimechukua viti vingapi vya ubunge.
 
ndugu wanazuoni wenzangu pamoja na makandokando na rafu nyingi kuchezwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu ningependa nijue kila chama nimechukua viti vingapi vya ubunge.

Majimbo ya uchaguzi yako 264 yaliyopigiwa kura

CCM imepata viti 217

UKAWA viti 46

ACT wazalendo kiti 1
 
Majimbo ya uchaguzi yako 264 yaliyopigiwa kura

CCM imepata viti 217

UKAWA viti 46

ACT wazalendo kiti 1
Ni kweli mbona kuna majimbo kama sio 5 basi ni 6 hayapiga kura ya ubunge,na kwa hesabu yako 217+46+1= 264?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…