Matthew 19:14 — Aya Inyoiharibu Dhambi ya Asili

Matthew 19:14 — Aya Inyoiharibu Dhambi ya Asili

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
13,617
Reaction score
40,894
"Yesu akasema, ‘Waacheni watoto wadogo, wasiwazuie kuja kwangu; maana waliumbwa kwa namna hiyo Mungu anawatawala.” Fikiria Watoto hawa walikua hawakubatizwa. Hawakumwamini mwokozi aliyesulubiwa. Hawakusafishwa kutokana na dhambi yoyote ya asili. Na bado — Yesu anasema kuwa ufalme wa mbinguni ni wao.

Kwa hivyo kabla ya kusulubiwa, kabla ya “ondoleo la dhambi”, watoto hawa wasio na hatia walikuwa safi na walikusudiwa kwenda mbinguni? Hii inamaanisha hawakuwa na hatia yoyote ya kurithiwa kutoka kwa Adamu.

Lakini kama watoto wanafaa kwenda mbinguni, basi:
Ilikuwa na maana gani msalaba?
Ni “dhambi” gani Yesu alikuja kuiondoa?

Na kwa nini Kanisa bado linafundisha kwamba kila mtoto anazaliwa na laana isipokuwa amebatizwa?

Ukweli ni wazi: Aya hii moja inaharibu teolojia nzima ya dhambi ya asili na kafara ya mwakilishi. Inaonyesha kwamba usafi na wokovu haviendi kwa kumwaga damu au taratibu — bali kwa usafi wa asili ambao Mungu ameuandaa katika roho ya mwanadamu.

Kwa hivyo muulize Mkristiano: Kama watoto tayari ni wa ufalme wa mbinguni, ni nini hasa kilichobadilika kwa kusulubiwa?
 
"Yesu akasema, ‘Waacheni watoto wadogo, wasiwazuie kuja kwangu; maana waliumbwa kwa namna hiyo Mungu anawatawala.” Fikiria Watoto hawa walikua hawakubatizwa. Hawakumwamini mwokozi aliyesulubiwa. Hawakusafishwa kutokana na dhambi yoyote ya asili. Na bado — Yesu anasema kuwa ufalme wa mbinguni ni wao.

Kwa hivyo kabla ya kusulubiwa, kabla ya “ondoleo la dhambi”, watoto hawa wasio na hatia walikuwa safi na walikusudiwa kwenda mbinguni? Hii inamaanisha hawakuwa na hatia yoyote ya kurithiwa kutoka kwa Adamu.

Lakini kama watoto wanafaa kwenda mbinguni, basi:
Ilikuwa na maana gani msalaba?
Ni “dhambi” gani Yesu alikuja kuiondoa?

Na kwa nini Kanisa bado linafundisha kwamba kila mtoto anazaliwa na laana isipokuwa amebatizwa?

Ukweli ni wazi: Aya hii moja inaharibu teolojia nzima ya dhambi ya asili na kafara ya mwakilishi. Inaonyesha kwamba usafi na wokovu haviendi kwa kumwaga damu au taratibu — bali kwa usafi wa asili ambao Mungu ameuandaa katika roho ya mwanadamu.

Kwa hivyo muulize Mkristiano: Kama watoto tayari ni wa ufalme wa mbinguni, ni nini hasa kilichobadilika kwa kusulubiwa?
Tunahitaji kutafakari upya theologia na doctrine ya dhabi la asili kwasbabu ukisoma bibulia things don't add up
 
Koran ni doctrine ya kifo na uharibifu.

Koran Ni maelezo ya chuki na matarajio ya kufikirika.

Koran ni bluprint ya cult ya kifo iitwayo uislam

Koran ni utaepeli kama ulivyo wewe covax ndio maana inalazimishwa kw watu maana hakun mtu mwenye akili timamu anaweza kukubaliana na upuuzi mlioandika
 
Jua maana halisi ya haya maneno kiimani/ kiroho utaelewa kwa ukamilifu hayo maandiko:

1. Dhambi maana yake ni uasi/ usaliti.

2. Usaliti/ Uasi maana yake ni hali ya kwenda kinyume na maagizo ya Mungu/ maelekezo (hapa kusudio ni neno).

3. Maagizo/ Maelekezo ya Mungu maana yake ni kumsikiliza yeye pekee na kuacha kufuata hitaji la moyo wako.

4. Mtoto maana yake ni mtu yoyote aliyezaliwa kwa mbegu ya Mungu (nia na moyo wake umeweka neno la Mungu kamilifu/ neno halisia).

Mwisho
Rudia tena kusoma hilo neno kwa usahihi kwa tafsiri hii utaelewa vizuri sana mazingira ya maneno ya Yesu.

Karibu.
 
Koran ni doctrine ya kifo na uharibifu.

Koran Ni maelezo ya chuki na matarajio ya kufikirika.

Koran ni bluprint ya cult ya kifo iitwayo uislam

Koran ni utaepeli kama ulivyo wewe covax ndio maana inalazimishwa kw watu maana hakun mtu mwenye akili timamu anaweza kukubaliana na upuuzi mlioandika
Mkuu jikite kwenye mada acha hasira za kimani. Sioni kwanini unaleta mada mpya waislamu tena hapa.
 
Jua maana halisi ya haya maneno kiimani/ kiroho utaelewa kwa ukamilifu hayo maandiko:

1. Dhambi maana yake ni uasi/ usaliti.

2. Usaliti/ Uasi maana yake ni hali ya kwenda kinyume na maagizo ya Mungu/ maelekezo (hapa kusudio ni neno).

3. Maagizo/ Maelekezo ya Mungu maana yake ni kumsikiliza yeye pekee na kuacha kufuata hitaji la moyo wako.

4. Mtoto maana yake ni mtu yoyote aliyezaliwa kwa mbegu ya Mungu (nia na moyo wake umeweka neno la Mungu kamilifu/ neno halisia).

Mwisho
Rudia tena kusoma hilo neno kwa usahihi kwa tafsiri hii utaelewa vizuri sana mazingira ya maneno ya Yesu.

Karibu.
Mkuu uelewiki naona umeanza kutoa version mpya na tafsiri ya bobulia, kwani neno mtoto lina maana ngapi tafadhari leta rejea au reference kusupport maelezo yako......
 
Mkuu uelewiki naona umeanza kutoa version mpya na tafsiri ya bobulia, kwani neno mtoto lina maana ngapi tafadhari leta rejea au reference kusupport maelezo yako......
Wewe ndio hutaki kuelewa. Hiyo Biblia unayoisoma ni Kitabu cha Mungu. Mungu yeye ni Baba ambaye anampa njia na mwanga mtoto wake.

Mistari mbona ipo mingi tu yenye huo ufafanuzi ikiwa wewe kweli huwa unasoma Biblia. Ukiwa na tafsiri zako za kidunia kwamba mtoto ni mtoto hakuna wa kukupinga na mawazo yako ya kidunia.
Ila Mtoto kiroho ni kiumbe mdogo mwenye ufahamu mdogo ila mwenye kuamini mambo yote na kuyaona kuwa ni sawa hasa mbele za Mungu.
Kazi ni kwako.
 
Wewe ndio hutaki kuelewa. Hiyo Biblia unayoisoma ni Kitabu cha Mungu. Mungu yeye ni Baba ambaye anampa njia na mwanga mtoto wake.

Mistari mbona ipo mingi tu yenye huo ufafanuzi ikiwa wewe kweli huwa unasoma Biblia. Ukiwa na tafsiri zako za kidunia kwamba mtoto ni mtoto hakuna wa kukupinga na mawazo yako ya kidunia.
Ila Mtoto kiroho ni kiumbe mdogo mwenye ufahamu mdogo ila mwenye kuamini mambo yote na kuyaona kuwa ni sawa hasa mbele za Mungu.
Kazi ni kwako.
Mkuu nimekuomba reference inao fafanua maana ya mtoto kibibulia ili teulewa pia Yesu alikua mtoto wa Mungu kweli au ina maana nyingine.
 
Mkuu nimekuomba reference inao fafanua maana ya mtoto kibibulia ili teulewa pia Yesu alikua mtoto wa Mungu kweli au ina maana nyingine.
Yohana 1:12-13
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

NB
Imani yangu umeanza kupata mwanga.
Karibu kwa msaada mwingine.
 
Yohana 1:12-13
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

NB
Imani yangu umeanza kupata mwanga.
Karibu kwa msaada mwingine.
Mkuu suali mimi na wewe na yesu sie ni watoto wa mungu sio?
 
Mkuu suali mimi na wewe na yesu sie ni watoto wa mungu sio?
Ukisoma vyema huo Mstari (Yohana 1:12 - 13) utakupa uhakika kama wewe ni miongoni mwa watoto wa Mungu.

Kuitwa mtoto wa Mungu kuna mchakato wake maana sio kila mtu Mungu ni Baba yake.

Karibu.
 
Ukisoma vyema huo Mstari (Yohana 1:12 - 13) utakupa uhakika kama wewe ni miongoni mwa watoto wa Mungu.

Kuitwa mtoto wa Mungu kuna mchakato wake maana sio kila mtu Mungu ni Baba yake.

Karibu.
We funguka Acha kuleta vifungu na kukimbia hujui unacho ongelea unajigonga, inaonekana bibulia huijui kabisa we ni kondo wa kufuata tu bila kuuliza
 
We funguka Acha kuleta vifungu na kukimbia hujui unacho ongelea unajigonga, inaonekana bibulia huijui kabisa we ni kondo wa kufuata tu bila kuuliza
Sifa ya kuwa mtoto wa Mungu ni lazima ujue mambo makuu 3.
1. Uasi/ Usaliti
2. Uharibifu
3. Ukombozi
Wewe unapaswa kwanza ujifunze Biblia ili ujue nani ni msaliti, nani ni mharibifu na ujiulize wewe ni nani kulingana na Biblia (hii ndio ukombozi wenyewe).
Ukishayajua hayo basi una haki ya kumuita Mungu Baba, na Mungu ana haki ya kukuita mwanae sababu umeujua ukweli.

Karibu tena.
 
Sifa ya kuwa mtoto wa Mungu ni lazima ujue mambo makuu 3.
1. Uasi/ Usaliti
2. Uharibifu
3. Ukombozi
Wewe unapaswa kwanza ujifunze Biblia ili ujue nani ni msaliti, nani ni mharibifu na ujiulize wewe ni nani kulingana na Biblia (hii ndio ukombozi wenyewe).
Ukishayajua hayo basi una haki ya kumuita Mungu Baba, na Mungu ana haki ya kukuita mwanae sababu umeujua ukweli.

Karibu tena.
Hawezi kukuelewa japo umempa jibu sahihi kabisa sasa kama mtu mwenyewe anaandika Bibulia badala ya Biblia Pana kazi hapo?
😅😅
 
Swali ni je mtoto ana dhambi ya asili au hana?
Mtu yoyote ambaye hajapata neema ya kuisikia sauti ya Mungu hapa namaanisha neno la Mungu kwa njia yoyote huyo ana heri na hatahesabiwa kuwa ni mtu aliyeasi. Maana yeye hajui kitu chochote.
 
Mtu yoyote ambaye hajapata neema ya kuisikia sauti ya Mungu hapa namaanisha neno la Mungu kwa njia yoyote huyo ana heri na hatahesabiwa kuwa ni mtu aliyeasi. Maana yeye hajui kitu chochote.
Jibu swali, mtoto mdogo ana dhambi ya asili au hana ? Hayo mautumbo yako Sio lengo la swali langu
 
"Yesu akasema, ‘Waacheni watoto wadogo, wasiwazuie kuja kwangu; maana waliumbwa kwa namna hiyo Mungu anawatawala.” Fikiria Watoto hawa walikua hawakubatizwa. Hawakumwamini mwokozi aliyesulubiwa. Hawakusafishwa kutokana na dhambi yoyote ya asili. Na bado — Yesu anasema kuwa ufalme wa mbinguni ni wao.

Kwa hivyo kabla ya kusulubiwa, kabla ya “ondoleo la dhambi”, watoto hawa wasio na hatia walikuwa safi na walikusudiwa kwenda mbinguni? Hii inamaanisha hawakuwa na hatia yoyote ya kurithiwa kutoka kwa Adamu.

Lakini kama watoto wanafaa kwenda mbinguni, basi:
Ilikuwa na maana gani msalaba?
Ni “dhambi” gani Yesu alikuja kuiondoa?

Na kwa nini Kanisa bado linafundisha kwamba kila mtoto anazaliwa na laana isipokuwa amebatizwa?

Ukweli ni wazi: Aya hii moja inaharibu teolojia nzima ya dhambi ya asili na kafara ya mwakilishi. Inaonyesha kwamba usafi na wokovu haviendi kwa kumwaga damu au taratibu — bali kwa usafi wa asili ambao Mungu ameuandaa katika roho ya mwanadamu.

Kwa hivyo muulize Mkristiano: Kama watoto tayari ni wa ufalme wa mbinguni, ni nini hasa kilichobadilika kwa kusulubiwa?
YESU hakusulubiwa kwa sababu ya dhambi ya asili ...pia hakuna dhambi ya asili ya kula tunda ni upotoshaji wa madhehebu ya dini ..ni kweli yesu alisulibiwa kwa sababu ya dhambi zetu ila siyo dhambi ya asili ... WAKRISTO NI WAPUMBAVU SANA.
 
Back
Top Bottom