William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
Washabiki hawamtaki Matola tokea Zamani mno. Kila kocha hufukuzwa na kubaki yaye tu ana nini.
Kocha wa timu kubwa sio kazi ya kilamtu. Shabiki gani atalipia kiingilio kwenda kumuangalia matola.
Kwa wazawa Mgunda anaiweza Simba kuliko mbongo yoyote. Gharama za kawaida tu.
Kongo alikuwepo ibenge. South Afrika alikuwepo Pisto Masinane. Chelsea alikuwepo Mourinho, Man U Alex Fargason, Arsenal Wenger na brazil Mario Zagaro.
Simba ni Mgunda.
Kocha wa timu kubwa sio kazi ya kilamtu. Shabiki gani atalipia kiingilio kwenda kumuangalia matola.
Kwa wazawa Mgunda anaiweza Simba kuliko mbongo yoyote. Gharama za kawaida tu.
Kongo alikuwepo ibenge. South Afrika alikuwepo Pisto Masinane. Chelsea alikuwepo Mourinho, Man U Alex Fargason, Arsenal Wenger na brazil Mario Zagaro.
Simba ni Mgunda.