Tanganyika
Member
- Nov 4, 2010
- 67
- 1
Taarifa ya matokeo ya Urais yanayotolewa na tume si sahihi......ni tofauti na yale yaliyobandikwa kwenye sehemu za uchaguzi, hili liko wazi kwani ushahidi upo! hata jana Lewis Makame alipoulizwa na waandishi wa habari kuzungumzia matokeo anayotangaza kuwa ni tofauti ali-panic na akapata kigugumizi!!!!!
Makame tafakari jambo hili vizuri watu wanasali usiku na mchana na nguvu ya Mungu ni kubwa, kumbuka Musa allivyowaokoa wana wa Israeli na jeshi la farao likiwa na silaha za kila aina lakini Musa na wana wa Israeli hawakuwa hata na mshale! Watanzania tuendelee kusali kwa bidii.....Mungu wetu ni mwaminifu sana.
Makame tafakari jambo hili vizuri watu wanasali usiku na mchana na nguvu ya Mungu ni kubwa, kumbuka Musa allivyowaokoa wana wa Israeli na jeshi la farao likiwa na silaha za kila aina lakini Musa na wana wa Israeli hawakuwa hata na mshale! Watanzania tuendelee kusali kwa bidii.....Mungu wetu ni mwaminifu sana.