Elections 2010 Matokeo ya ukweli haya hapa sasa

ccm daah wezi bwana sasa sijui kama govt ya ccm inaiba mchana hivi sioni shaka vibaka wa kukwapua hawaishi mijini kila kukicha, kumbe wana makomandoo wa CCM senior vibaka
 
Tafadhasali msee ondo uchuro wako hapo chuu kweliiii
Asante Msee kwa kunikumbusha maana mtiririko ulikuwa Chadema - Chadema kweli, ila Msee Lyatonga Mrema ni TLP.
Source: BBCswahili Ustream, www.mwananchi.co.tz, wasimamizi wa majimbo ya uchaguzi, majimbo yaliyotwaliwa na vyama vya upinzani mpaka sasa ni :
  1. Musoma mjini - Vincent Nyerere- CHADEMA
  2. Iringa mjini - Mch. Peter Msigwa- CHADEMA
  3. Lindi mjini - Salum Halfani Barwani- CUF
  4. Arusha mjini- Godbless Lema - CHADEMA
  5. Mwanza Nyamagana- Hezekiah Wenje - CHADEMA
  6. Moshi Mjini- Philemon Ndesamburo - CHADEMA
  7. Maswa Magharibi- John Shibuda- CHADEMA
  8. Maswa Mashariki- Silverster Kasulumbayi- CHADEMA
  9. Ukerewe - Salvatory Naluyege- CHADEMA
  10. Biharamulo - Dr. Mbasa - CHADEMA
  11. Ilemela - Haines Samson- CHADEMA
  12. Meatu- Meshack Opulukwa- CHADEMA
  13. Kigoma Kaskazini- Zitto Kabwe- CHADEMA
  14. Mbeya mjini - Joseph Mbilinyi - CHADEMA
  15. Hai Kilimanjaro- Freeman Mbowe - CHADEMA
  16. Vunjo - Augustino Lyatonga - TLP
 
http://jamiiforums.com/count/Nsu/bg=FFFFFF/txt=FFFFFF/border=FFFFFF/columns=1/maxflags=1/viewers=3/labels=1http://2.s01.jamiiforums.com/count/Nsu/bg=FFFFFF/txt=FFFFFF/border=FFFFFF/columns=1/maxflags=1/viewers=3/labels=1
but everyone knows dat!
Yo' Tanzachik, wagwaan baby gal, i'm loving those big melons of yours!!!!
anyway nadhani tulikuwa tunaongelea matokeo ya uchaguzi, hebu subiri kidogo.......
 
Hii pace ya kutoa matokeo ni ndogo mno nadhani lengo ni kungoja watu wachoke ili kura zichakachuliwe:A S angry:
 
Acha Kutudanganya hii Maswa walioshinda CCM ni ya buguruni au Mwananyamala?:nono:
 
Kasulu vijijini alikokimbilia Nsanzugwanko vipi? kashinda nini.lete data. kachapa vibao wakati wa kampeni eti kisa kuuliza maswali tu.
 
Hebu naombeni data za jimbo la Kibaha na Muhambwe, jina na mbunge na chama please.
 
Back
Top Bottom