Matokeo ya Operationa Officer TPA

Matokeo ya Operationa Officer TPA

ANGALAU SASA KELELE ZITAPUNGUA HUMU, MANA ILIKUA CHUPLI CHUPLI
 
Kutoka 50 inakuja 38! Hakuna 40. Na hizo ziro zote vipi yani. Uite watu 6000 u short list 50 tu! Wengine wametokea songea, Sumbawanga, Bukoba kujaribu bahati zao. Serikali iangalie namna nzuri ya kuwafanyia usaili hawa job seekers kwa kuwapunguzia gharama kidogo, la sivyo vijana wata under go beyond frustration.
 
Madogo ngojea niwaombee ngoma irudiwe
Izo sufuri 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kutoka 50 inakuja 38! Hakuna 40. Na hizo ziro zote vipi yani. Uite watu 6000 u short list 50 tu! Wengine wametokea songea, Sumbawanga, Bukoba kujaribu bahati zao. Serikali iangalie namna nzuri ya kuwafanyia usaili hawa job seekers kwa kuwapunguzia gharama kidogo, la sivyo vijana wata under go beyond frustration.
Sasa ulitaka 6000 wote waende oral au
 
Daaah! Utumishi sio poa aisee, Yaani graduate inafikia hatua unakosa cha kujaza yaani ukicheki umetumia gharama kufika Dodoma. Nauli, Chakula, Malazi halafu unarudi zako kitaa na namba ya kiatu.
Kwa hizi paper wanazotoa hata ikitokea wameita watu 10,000 kwa nafasi 10 siwezi kulalamikia idadi ya watu walioitwa.
 
Kutoka 50 inakuja 38! Hakuna 40. Na hizo ziro zote vipi yani. Uite watu 6000 u short list 50 tu! Wengine wametokea songea, Sumbawanga, Bukoba kujaribu bahati zao. Serikali iangalie namna nzuri ya kuwafanyia usaili hawa job seekers kwa kuwapunguzia gharama kidogo, la sivyo vijana wata under go beyond frustration.
Utaratibu mzuri ungekua kuwagawanya candidates kwa kanda (zones) kulingana na kanda za mikoa.
Mfano, kungekua na vituo vya usahili Dar, Mtwara, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Kigoma, na Arusha. Kila candidate afanyie mkoa ambao ni karibu zaidi kwake. Hii ingesaidia sana kupunguza gharama za usafiri na malazi kwa watahiniwa. Hasa kwa usahili wa maelfu kama huu.
 
Duu...hao waliopata zero inamaana walishindwa kabisa mtihani mzima? Bachelor Degree holders!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye applications walitanua goli kwa kusema watu wenye degree mbalimbali wanaweza kuomba (hata kozi zisizohusiana na masuala ya bandari moja kwa moja kama vile HR, BBA, Procurement, etc.), halafu sasa kwenye pepa wakaweka maswali ambayo typical ni ya ki-bandari, yaani kama hujasoma kozi ya mambo ya bandari au hujawahi fanya kazi bandari lazima upate namba za viatu. Ndo kilichotokea sasa.
 
Utaratibu mzuri ungekua kuwagawanya candidates kwa kanda (zones) kulingana na kanda za mikoa.
Mfano, kungekua na vituo vya usahili Dar, Mtwara, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Kigoma, na Arusha. Kila candidate afanyie mkoa ambao ni karibu zaidi kwake. Hii ingesaidia sana kupunguza gharama za usafiri na malazi kwa watahiniwa. Hasa kwa usahili wa maelfu kama huu.
Good idea
 
Kutoka 50 inakuja 38! Hakuna 40. Na hizo ziro zote vipi yani. Uite watu 6000 u short list 50 tu! Wengine wametokea songea, Sumbawanga, Bukoba kujaribu bahati zao. Serikali iangalie namna nzuri ya kuwafanyia usaili hawa job seekers kwa kuwapunguzia gharama kidogo, la sivyo vijana wata under go beyond frustration.
M mm nimeshangaa kutoka 50 hapo adi 38 kweli hamna hata 42 -50??duh
 
Kutoka 50 inakuja 38! Hakuna 40. Na hizo ziro zote vipi yani. Uite watu 6000 u short list 50 tu! Wengine wametokea songea, Sumbawanga, Bukoba kujaribu bahati zao. Serikali iangalie namna nzuri ya kuwafanyia usaili hawa job seekers kwa kuwapunguzia gharama kidogo, la sivyo vijana wata under go beyond frustration.
Kuna solution moja kwenye hili. Watu wanapoitwa kwenye usaili. Waitwe kwenye ofisi ambazo ziko ndani ya mkoa husika ambamo job seekers wapo.
Na kama office hazipo humo basi waitwe mikoa ya karibu ambapo office za taasis husika zipo. Hii itapunguza gharama kwa wale wanaotoka mbali.

Hili suala la wote kuja dar halaf unatoka kapa linaumiza
 
Utaratibu mzuri ungekua kuwagawanya candidates kwa kanda (zones) kulingana na kanda za mikoa.
Mfano, kungekua na vituo vya usahili Dar, Mtwara, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Kigoma, na Arusha. Kila candidate afanyie mkoa ambao ni karibu zaidi kwake. Hii ingesaidia sana kupunguza gharama za usafiri na malazi kwa watahiniwa. Hasa kwa usahili wa maelfu kama huu.
Zamani ilivyouwa dsm wamikoani walikuwa wanakuja hawalalamiki au walikuwa wanafurahi kuja kuona na magorofa
 
Ni wasomi uchwara Kama wewe
Dogo acha kutuzereu
Tumelaza miguu kwenye mabeseni ya maji kuisaka degree.

Haya matokeo ni setup ili kushort list.

Wangwturudishia hizo karatasi na majibu ndo ungejua hujui
 
Back
Top Bottom