precisely mkuu!lakini andhani hii mada hapa si jukwaa lake muafaka
Harini wana jf,jamani kuna uvumi umsikika kuwa matokeo ya NBAA yametoka,je ni kweli?:embarassed2:
jukwaa lake kwani ni wapi?
Cpa sikuizi yeboyebo kila m2 anayo tuangalie kitu kingne jaman kitachotuweka tofauti.
CPA ikiwa yebo yebo na degree zitakuwaje? au masters? haijawa yebo yebo bado mana cpa holders hawajafika 4000 tangu ianzishwe mwaka 1975! Huo ni wivu tu, huna lolote!
Sio wivu kikomelo angalia rate ya watu kupata ilivo juu kuliko zamani.
kwel kabisa bro! Hapa tuzungumzie ajira jaman!lakini andhani hii mada hapa si jukwaa lake muafaka